Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nyumbaniMkuu ndio unaishi mitaa hiyo au upo tu mara moja?
Sasa unapowatukana ndio unakuwa unawakaribisha hata kama walikuwa hawahusiki hapaHii ni kwa hisani ya TISS aka watu wasiojulikana.....cjui wanataka kutujengea nyumba ama wanaangalia namna ya kutupatia noah zetu feki...
HAMUMPATI M2 HAPA KENGE NYIE
Msalimie yule dogo mnene anaenyoa panki,nipo Pyongyang mtaa wa cheon-doo
Sakayo karibu Mdungunyikeni.Mwishowe mtataka na majina yetu
makasini,iduda,igawilo au nsalagaMarekani- Los Angels- Uyole
hahahahaaaaaaaaa ngoja nikimwona mtoto wake kwenye gwalide kesho asubuhi nitamwambia ahjusiii-yeepyeaa [emoji23][emoji23][emoji23]Msalimie yule dogo mnene anaenyoa panki,