Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Uyo ndo mtu bora kwako endelea kuwa nae karibu ili awe anakutabilia wrong alafu nature inafanya againstKuna ndugu yangu alinambia "kwa akili zako hizo fupi, hata form 4 hutofaulu" nilifaulu form 4 nilipata division one ya point 10 mtoto wake niliekuwa nae sawa akapata two ya mwisho.
Tulivoenda advance akasema tena sitofaulu, nilifaulu advance kwa division one ya point saba PCB na toto lake likapata division three.
Somo; Usimchukulie poa mtu hujui ndani yukoje.
Sitasahau nilipokamatwa na wanajeshi walinipa adhabu na kunambia nibusu kalio langu.Habarini wapendwa.
Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana.
Alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa mapumziko hospital, sasa kwenye kumpigia kumwambia nimelazwa ,bwana ee alinitext ".
Utajua mwenyewe siumeyataka mwenyewe,wivu tuu, kufatiliana fatiliana".
Asee sitasahau aalikuwa hana utu..sasa naa wewe. Andika Neno lolote CHUNGU ,ZITO,LENYE MAUMIVU AMBALO Hautakujaa kusahau mtu alikutamkia..
Mgalatia 😂😂🙌🙌🙌🙌Ni hatari sana mkuu! Kipindi namaliza form 4 nimechaguliwa kwenda chuo cha mifugo wazazi wote wakawa wamefariki nikawa sina pa kushika mpaka imefikia nakosa hata viatu vya shule. Nikasema wacha niende kwa sister mtoto wa baba mkubwa anipige tafu. Akaniambia nimfuate ofisini kwake (alikuwa dereva wa JWTZ baadaye akaja akahamia UN) ili anipeleke na home kwake nikapaone. Kufika sijui nini kikamjia kichwani akawa ameghairi kunipeleka kwake. Hapo ofisini alikuwa na wadogo zake tumbo moja na binti yake wa nje ya ndoa ambaye alikuwa karibia rika moja na yeye mzazi (alipata mimba akiwa mtoto) na kule kwa mme wake alikuwa anadanganya kwamba huyo binti ni mdogo wake (sasa nikawa nahisi kwamba labda aliogopa nisije nikamtibulia mipango). Basi akaniuliza nina shida gani? Nikamweleza naomba unisaidie hela ya viatu vya shule sina kabisa, likafuata tusi la Kisukuma "ALIYO GHASHI MAKOYE!" Wadogo zake wakacheka sana! sikurudia tena na nikaondoka zangu! Tangu siku hiyo nikakata mawasiliano nikapambana kivyangu mpaka nikamaliza chuo na kupata kazi nzuri tu kipindi hicho, yeye huku nyuma akawa ametengana na mmewe aliyekuwa anamweka mjini, maisha yakampiga mpaka akawa ananitafuta nimpige tafu, anapitishia ujumbe kwa sister wangu! Kwa vile mimi Mgalatia nikawa najibu hivyo hivyo alivyonijibu mimi! Mwisho wa siku anakuja kufariki almanusura azikwe na Halmashauri ya Jiji! Wadogo zake walionicheka kipindi kile wakaja wakafa kwa kujitia kitanzi kutokana na ugumu wa maisha uliowakumba! Karma is a bitch! Binadamu tupendane aisee!
Imma yashapita lakini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 usiwe n makasiliko sasaPole zote zimerudi kwake.. Bishoo wake kaifuja mbususu kapita hivi sa hiv aniona mi ndo wa maisha et? Akatiwe mbele huko
Hhah ni kwel yamepita ila nilimpenda sana mrembo yule, japo sa hiv tunawasiliana kipumbavu tuImma yashapita lakini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 usiwe n makasiliko sasa
Usiwe na roho ndogo haina haja ya kumwambia. Kama utamwambia tu utakuwa umefanikiwa kujenga ila hujaishinda roho ya kimqsikiniMimi mama yangu alinambiq sjitakaa nifanikiwe sitakaa niishi na watu nitateseka maisha yangu yote ila kwa sasa namjengea nyumba siku anahamia namkumbusha haya maneno
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ndiyo, wa jino kwa jino!Mgalatia 😂😂🙌🙌🙌🙌
😂😂😂 Shem kasema weweMimi sijawahi kumwambia hivyo🤣🤣🤣
Halafu Nina shida na wewe jamani.😂😂😂 Shem kasema wewe
Hapo chacha 😂😂😂Halafu Nina shida na wewe jamani.
Pm yangu inasumbua ngoja nifanye namna niweze kukupata
Yangu inasumbua, message hazifunguki. Utaweza kuwa quick niandike hapa unicheck🌚? Ila watu wako macho usikute 🤣Hapo chacha 😂😂😂
Nakufungulia njoo shosti
🤣🤣🤣 unaogopa waja?Yangu inasumbua, message hazifunguki. Utaweza kuwa quick niandike hapa unicheck🌚? Ila watu wako macho usikute 🤣
Pole tatizo mwenzio sina WhatsApp mpzPm hazifunguki kabisa inaandika tu connecting. Yaani napata shida
Haya, ngoja nijitahidi ku update.Pole tatizo mwenzio sina WhatsApp mpz
Jitahidi my au km unaweza sema hapa afu fasta futaHaya, ngoja nijitahidi ku update.
🤣🤣Kweli dogo umepitia mengi'mshamba, mimi ni kama dada yako'
akanionesha kabisa amenisave 'Youngie'
inauma sana
Kwahiyo hujaoata kazi?🤔Mwaka 2007 mama mwenye nyumba wangu aliniambia ntatafuta kazi mpaka milele! Aiseee nilichoka mno na alikua mshirikina balaa
[emoji3][emoji3]Acha kabisaKumekucha...
"" sawa sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]