Andika neno lolote chungu, zito, lenye maumivu ambalo hautakujaa kusahau mtu alikutamkia

Uyo ndo mtu bora kwako endelea kuwa nae karibu ili awe anakutabilia wrong alafu nature inafanya against
 
Sitasahau nilipokamatwa na wanajeshi walinipa adhabu na kunambia nibusu kalio langu.
 
Mgalatia 😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Mimi mama yangu alinambiq sjitakaa nifanikiwe sitakaa niishi na watu nitateseka maisha yangu yote ila kwa sasa namjengea nyumba siku anahamia namkumbusha haya maneno

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Usiwe na roho ndogo haina haja ya kumwambia. Kama utamwambia tu utakuwa umefanikiwa kujenga ila hujaishinda roho ya kimqsikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…