Andika neno lolote chungu, zito, lenye maumivu ambalo hautakujaa kusahau mtu alikutamkia

Andika neno lolote chungu, zito, lenye maumivu ambalo hautakujaa kusahau mtu alikutamkia

Kwahiyo hujaoata kazi?🤔
Nina nyumba mbili...na ya tatu mkoani..nina biashara ipo very stabble nina kampuni tano ila mbili tu ndio zinafanya kazi...nina watoto wanasoma shule nzuri tu...niliyumba kidogo kipindi cha mwendazake ila sa hv narudi mdogo mdogo

In short yeye alikimbiwa na mume kibenten alikua amekiteka...ndugu wakakaza...so yupo ila upepo wake sio mzuri...somehow kauli yake ilinifanya nikomae sana...namshkuru kistyle
 
Alitaka kubadili gari akaniomba ushauri sasa kwenye kumshauri nkamwambia hy itakusumbua inakula sana mafuta akanijibu "kwani zingine zinakula mkate" asee nlimind ni vile tulikua machoni pa watu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ndugu yangu alinambia "kwa akili zako hizo fupi, hata form 4 hutofaulu" nilifaulu form 4 nilipata division one ya point 10 mtoto wake niliekuwa nae sawa akapata two ya mwisho.

Tulivoenda advance akasema tena sitofaulu, nilifaulu advance kwa division one ya point saba PCB na toto lake likapata division three.

Somo; Usimchukulie poa mtu hujui ndani yukoje.
Hakika.
 
Back
Top Bottom