Andika tabia usiyoipenda ya baadhi ya member wa JF

Tuzogoe tu hakuna namna. Mwenza umepotea sana
Kwakweli tuzogoe tu akichoka akatureport kwa Max, nipo mwenza mara nyingi huwa nakuwa msomaji tu sichangii ila na ww umepotea
 
Kwakweli tuzogoe tu akichoka akatureport kwa Max, nipo mwenza mara nyingi huwa nakuwa msomaji tu sichangii ila na ww umepotea
Nahisi na Mimi ni wa kusoma zaidi bila kuchangia, nakosa mada nzuri za kuchangia Kama hizi
 
Hahah Mental Jiu-jtsu hatari sana. Mkuu naomba uanzishe uzi wa kutu train jinsi ya kuweza kufikia huko ulipo. Hivi na katika real life una approach kama hizo..yani kazini,nyumbani n.k
 
Hahah Mental Jiu-jtsu hatari sana. Mkuu naomba uanzishe uzi wa kutu train jinsi ya kuweza kufikia huko ulipo. Hivi na katika real life una approach kama hizo..yani kazini,nyumbani n.k
Ulimwengu ninaoishi mimi hata watoto wanafundishwa ku challenge mawazo wanayoletewa, kwa hiyo ni mental jiu-jitsu mwanzo mwisho.
 
Yani unachukia tabia ya mtu nyuma ya kibodi inakuasiri vipi nyie kweli matubelight humu ndani mliokometi
 
nimeshakula nimeshiba..
ngoja nitafute kijiwe..

nikae nianze kuiponda serikali..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu soma kwanza dogo
Umeona sasa njaro zako Sister!!Kwani siezi opoa manzi nikiwa mwanafunzi tena nko above 18 kabisa alaf second year!!You cant be seriouz Shunie..!?
 
Tabia ya maadmin ya kufuta nyuzi zinazowakosoa watu wao au mmiliki wa JF, ili hali wanajinasibu wao ni watetezi wa free speach na demokrasia.
 
ngoja waje.
Hii tabia ya ''ngoja waje''. '' nimewahi seat''. wanakusikia'' hii inaniudhi kuliko maelezo, mtu sijui hana cha kufanya hana point,? yuko pale ametegea tuuu. kuwa wa kwanza. mtu ameona thread nzuuurii! anaingia anakutana na huu ujinga mnachosha akili zetu na kujaza page tu.na kura bundle, mfyuuuuuu!

na kuna avatar maalumu zenye tabia hii mnisaidie kuzitaja.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…