Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Chrismoris

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
14,113
Reaction score
17,645
Mwana jopo kheri ya mwaka mpya.

Katika uzi huu tunaenda kuandika umri wetu na mambo ambayo kamwe hatuwezi kuyafanya katika umri huo.


Nitaanza na Mimi mwenyewe.
Nina miaka 35
Siwezi kuwa mnafki. (Kujifanyisha)


State your age and something you can't do

Me: 35 and I can't pretend.
 
20..siwezi kuoa bado nakula ujana[emoji41][m]
tapatalk_1544266636863.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom