Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Umeona eeh..kumbe nimekaa katikat ya kundi la watoto namna hii!!?😎Duh apa wengi watakuwa na 20, 21, mpka 23, 24...
Although nina 25 ..
Sipendi kitonga.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh..kumbe nimekaa katikat ya kundi la watoto namna hii!!?😎Duh apa wengi watakuwa na 20, 21, mpka 23, 24...
Although nina 25 ..
Sipendi kitonga.!
Sent using Jamii Forums mobile app
I know! But I will do my best to keep my promise. No matter the situation.Good.But dont assure yourself too much. As 21 years you have long journey in terms of love and general life.All these can drug you into doing anything.
What the point you idiot, sasa mnalazimisha atembee na waume za watu?Good.But dont assure yourself too much. As 21 years you have long journey in terms of love and general life.All these can drug you into doing anything.
Hahaha kinamaana nyingi sikuhizi kinategemea na mtumiaji.
Aisee hiyo kitu ni ufala uliotukuka (in GENTAMYCINE's voice ...niliharisha siku tatu mfululizo baada ya kuzama chumvini ...nmeapa sirudii[emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana nilikuwa sijuiiHahaha kinamaana nyingi sikuhizi kinategemea na mtumiaji.
Maana halisi kwa tafsiri ni formular.
Lakini sisi wanaume tunaitwa vikokotoo, yani tuna kokotoa.
27 napenda mwanamke mwembamba lakini siyo sana pia mweusi awe mwalim
27 napenda mwanamke mwembamba lakini siyo sana pia mweusi awe mwalim
Sent using Jamii Forums mobile app
First am not an idiot.What the point you idiot, sasa mnalazimisha atembee na waume za watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha karibu, ukiombwa kukokotolewa na wenye vikokotoo usishangae tena.
Haa vp ulikutana na maji taka wenywe watalamu wanadai ukimaliza et unatakiwa unywe juice ya malimaoAisee hiyo kitu ni ufala uliotukuka (in GENTAMYCINE's voice ...niliharisha siku tatu mfululizo baada ya kuzama chumvini ...nmeapa sirudii[emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani eb weka sawa andiko lako kuzibuliwa kwa maana ya kuliwa jicho? Au sijakuelewa vzr28 kuduu bila kuzibuliwa
Pengine unamiliki gari lakini ungekuwa huna usafiri ungepata wapi njia au barabara ya kutembea peke yako ili usitembee njia moja na waume za watu?
Asiwe tuu Mume wa mtuHahaha karibu, ukiombwa kukokotolewa na wenye vikokotoo usishangae tena.