Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,373
- 5,100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]what a prankPengine unamiliki gari lakini ungekuwa huna usafiri ungepata wapi njia au barabara ya kutembea peke yako ili usitembee njia moja na waume za watu?
Yaani ukikutana na mtu njiani unatembea unaahirisha safari kisa usitembee pamoja na mme wa mtu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatusemi na pete hatuvai, na vyeti tuliisha vitunza kwenye ma draw.
Hahaha mfundishe Baby Doll anaogopa waume za watu, hajui hao ndio wenye hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha mfundishe Baby Doll anaogopa waume za watu, hajui hao ndio wenye hela.
Unapishana na basi la fursa. Taja umri wako bibie
How old are u champ ?In jf plenty of women are under 30.
Wonderful.
Mapenzi ya kimya kimya hayanogiHatusemi na pete hatuvai, na vyeti tuliisha vitunza kwenye ma draw.
Usiogope kama mke wangu hajui na hakujui. Hizo ni league za mchangani hazina vikombe wala nishani. Na huwa hazina publicity. Kimya kimya mnasepa kila mtu uelekeo wake.
[emoji119][emoji119]Hahaha mfundishe Baby Doll anaogopa waume za watu, hajui hao ndio wenye hela.
Have baby by me
Hahahahh, mchezo wa beki 3 hapa tunaferi wengi jamani,yaani ukiona beki 3 kadumu kuanzia mwaka 1 na kuendelea ujue huyo ni mke huyo bimkubwa km hayupo anafua mpk boxer za mzeeHahaha inategemea yukoje, ukipata mrangi utajaribu tu. Na ukizoea basi utakuwa hukauki nyumbani utakuwa baba mwema hutoki toki hovyo.
Yanakuwa kama uchawi
Aaahaha kwahiyo ubataka kusema sijapata Wa kunishawishi!?Hahaha inategemea yukoje, ukipata mrangi utajaribu tu. Na ukizoea basi utakuwa hukauki nyumbani utakuwa baba mwema hutoki toki hovyo.
Hahaha mtapiga kelele mkiwa peke yenu
Ulikula E.coli mzee baba..demu huyo unakuta hajui kujiosha wakati akiwa toilet..always wanatakiwa wafanye front-back,front-backAisee hiyo kitu ni ufala uliotukuka (in GENTAMYCINE's voice ...niliharisha siku tatu mfululizo baada ya kuzama chumvini ...nmeapa sirudii[emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado, ukipata mzuri mchanga na mbichi utaleta mrejesho. Utawahi kurudi nyumbani utakuwa hutoki kuvizia mianya ya league.Aaahaha kwahiyo ubataka kusema sijapata Wa kunishawishi!?