Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Pengine unamiliki gari lakini ungekuwa huna usafiri ungepata wapi njia au barabara ya kutembea peke yako ili usitembee njia moja na waume za watu?
Yaani ukikutana na mtu njiani unatembea unaahirisha safari kisa usitembee pamoja na mme wa mtu!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]what a prank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha inategemea yukoje, ukipata mrangi utajaribu tu. Na ukizoea basi utakuwa hukauki nyumbani utakuwa baba mwema hutoki toki hovyo.
Hahahahh, mchezo wa beki 3 hapa tunaferi wengi jamani,yaani ukiona beki 3 kadumu kuanzia mwaka 1 na kuendelea ujue huyo ni mke huyo bimkubwa km hayupo anafua mpk boxer za mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha inategemea yukoje, ukipata mrangi utajaribu tu. Na ukizoea basi utakuwa hukauki nyumbani utakuwa baba mwema hutoki toki hovyo.
Aaahaha kwahiyo ubataka kusema sijapata Wa kunishawishi!?
 
Aaahaha kwahiyo ubataka kusema sijapata Wa kunishawishi!?
Bado, ukipata mzuri mchanga na mbichi utaleta mrejesho. Utawahi kurudi nyumbani utakuwa hutoki kuvizia mianya ya league.
 
Back
Top Bottom