Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Unawezaje kusurvive?Ni suala la maamuzi na nidhamu.
Inaweza kuonekana ni ajabu ila ndiyo njia pekee iliyonifanya niweze kujidhibiti.
Kanuni na nidhamu ya kimaumbile (nature) kama binadamu amezaliwa bila ya matatizo ni lazima awe ni mwenye kuhitaji (kukutana kimwili) lakini akifikia hatua fulani (baleghe) lakini haimaanishi atashindwa kujidhibiti. Kuna msukumo wa namna mbili. 1) Msukumo wa kiasili na (2) Msukumo utokanao na vichocheo vya mazingira. Hivi unaweza kuviepuka kwa namna mbili (2): Ya kwanza (1) ni maamuzi, ya pili (2) ni nidhamu.
Safi sana kamanda, vijana kama nyie mmebekaki wachache27age
Siwezi kufanya mapenzi na mwanamke yoyete mpaka pale ntakapo muoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Buguruni kama mrupo halafu uwe hauna hela. Utafundishwa tu kumwaga nje na ndani
Na wewe huwa unazini ?
Huna nyota ya kukutana na visu20+
siwez kudate dem wa jf simply sidhan km kuna dem mkali humu ambae anawazid madem zng.
Columbia kutakuwa na forced karantini.27age
Siwezi kufanya mapenzi na mwanamke yoyete mpaka pale ntakapo muoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Are u economically well off or broke as fck ?34 I'll never Fukc a broken Ass dude
both depending on situation..Are u economically well off or broke as fck ?
I wanna be your manboth depending on situation..
What ll you offer?I wanna be your man
love, protection and above all realible affection and emotional supportWhat ll you offer?
unaumwa ?
Hivyo kaa navyo tu,Havilipi bill wala kuongeza digits kwa accountlove, protection and above all realible affection and emotional support
Unataka kulipwa au kuhudumiwa ?Hivyo kaa navyo tu,Havilipi bill wala kuongeza digits kwa account