Andika usichokipenda humu JamiiForums

hahahaa kama unapenda watoto anakufaa !lakini kama unapenda wahenga km mie mhhh lazima utaanza mchunia then atakata maguu mwenyew !
Uzuri unanishauri nae anaona hapaaa,watoto wanasimamia ukuchaa mweee,wahenga dakika moja chali nani anataka
 
Mbona sie tunawatunzia siri ,,hatuwaaniki kama nyie kutwa kulalamikaa

Na mnyamaze kimya!

eti dina nipe story ya yule aliyetaka kumpa Vladimirovich Putin tundu dogo kama kamisheni ni nani maana sijawahigi kumjua mpaka leo! alafu nawaza atakuwa naniii sio kwa kumind nanii ila sasa nanii hana namna ya kuficha ili nanii isiwekewa pilipili
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani Dina.......sina mbav huku, Kaa vile nakuona live ujue
P sio wa kunyamaza eti kisa sie wanawake ndio anyamazee ,,akinyamaza atakua busy anasoma ,,akimaliza tu ataibuka hapa kutugaragazaa vibayaa we tulia tuu
 
P sio wa kunyamaza eti kisa sie wanawake ndio anyamazee ,,akinyamaza atakua busy anasoma ,,akimaliza tu ataibuka hapa kutugaragazaa vibayaa we tulia tuu
Hahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaa daaaah !! sikuwezi Dina.....
 
hahaha ata mie naona. tangu aolewe ana malnutrion ya mtongozo. naomba putin ampe dawa apone



hahaha kojoa kabisa ukiweza jamba kabisa
Aleppo nakojooooooaaaaaa hhahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…