hahahhh mama weee ! kwamba yaliweka mgomo baridi !tuombanage tu vocha mwaya (if its true) haukawii kumuomba mtu kiroho safi akaja kusema yake !mxiewwwwwwww nawadharau sana watu wa namna hyo !Jana nilikosa bando. Madanga yaligoma kuwajibika, teh
Kumbe Umeolewa alafu Unadanga Kwa Putini. Hahaha hahaha Lazima Akuzqrau[emoji28] [emoji28]
It is true mwaya..hahahhh mama weee ! kwamba yaliweka mgomo baridi !tuombanage tu vocha mwaya (if its true) haukawii kumuomba mtu kiroho safi akaja kusema yake !mxiewwwwwwww nawadharau sana watu wa namna hyo !
Heeee! Unaongea Na Nani Dada Mbona Povu Zitooo. [emoji28] [emoji28] [emoji28]hebu kamuulize kama nimedanga mie !pls tuheshimiane ! na ni nan alianza kuja kwa mwenzake pm !narudia tena na tena huyo mtu alikua rafiki angu ambaye hata nikiumwa ananiambia tafuta dawa hii na hii !mxiewwwwwwwwwww unawajua wadangaji wewe au unawasikia !mxiewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
hivi muulize huyo anayesemaga anatongozwa pm !nimewah kumuomba hata crdt tu ! mxiewHeeee! Unaongea Na Nani Dada Mbona Povu Zitooo. [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hahhhahhaa Kwani Wewe Mgeni Kwa Putin? Hapa Tunazunguka Mbuyu tu MBITI. Tunataniana Tu Humu Maisha Yanaenda Kwani Ukiambiwa Nimekuzarau Inakuwa Kweli. Mimi Na andika Huku Nacheka coz Humu Ni vituko Sa Wewe Ukihisi Kweli Utakwazika Sana Mama. Just Take is easy.hebu kamuulize kama nimedanga mie !pls tuheshimiane ! na ni nan alianza kuja kwa mwenzake pm !narudia tena na tena huyo mtu alikua rafiki angu ambaye hata nikiumwa ananiambia tafuta dawa hii na hii !mxiewwwwwwwwwww unawajua wadangaji wewe au unawasikia !mxiewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
Sipendi ccmAndika Vitu Viwili Tu Usivyo Vipenda Humu Ndani.
Mimi Binafsi Sipendi Couple Ya Mahondwa Na Smart. Siwaelewi na Sitakuja Kuwaelewa.
Simpendi Vladmil Puttin Kwa Kujisifia Anatongozwa Na Wadada Wa Humu. Sijui Atakuwa Lini.
Weka Usivyo Vipenda Humu ndani.
Hahhhahhaa Kwani Wewe Mgeni Kwa Putin? Hapa Tunazunguka Mbuyu tu MBITI. Tunataniana Tu Humu Maisha Yanaenda Kwani Ukiambiwa Nimekuzarau Inakuwa Kweli. Mimi Na andika Huku Nacheka coz Humu Ni vituko Sa Wewe Ukihisi Kweli Utakwazika Sana Mama. Just Take is easy.
Any way kama mekukwaza Forgive Me MBITI
Heee Kwahyo Putin Ndo Alikufwata Na kibumu Chake Cha Second Batch. Hahaha hahaha Nacheka Sana Ngoja Ajeehuo ndo ukweli ! inakujia akilini mie mdada ninakamata vimia mia nimuombe mtoto wa chuo tea anayetegemea boom?? hivi mpo srious kweli? ni kma leo mie nimuombe mdogo wangu grace pesa yake ya boom !si wehu huo ?
inakera sana ! mtu akipata kiboom anakujia pm anakuuliza afanye nn na nn leo anakuja hapa pua kubwaaa ohhh nyoko nyoko !mcxiewwwww
Hapana nivema ufanye vile nilivyoandika .Akhu Yamenishinda Mie Lazima Ni kote Uzi mkuu
Aiseee kumbe.?.Heee Kwahyo Putin Ndo Alikufwata Na kibumu Chake Cha Second Batch. Hahaha hahaha Nacheka Sana Ngoja Ajee
Poa ,ila nivema ungefanya km nilivyoelekeza Mkuu.Mimi Simo Bana. Nime koti hyo kitu Hata Sijui Mmeanziana Wapi. Lakini Mkuu Kwanini Usianike Hapa Kila Kitu Hadi Ule Mstari Wetu Uleeeeee..Ulete Bana Waache Kukuzarau Eti Kidenti cha Second Batch Khaa!
Rudi tena mkuuNa sijui kama utadumu. Ngoja mods waamke