Andika usichokipenda humu JamiiForums

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja ana id mbili..moja ya me nyingine ya ke. Madai yake huyo ke ndo demu wake, basi kazi aliyonayo kujibebisha huku na huku si mchezo.
Hahaha haha bila shaka umemlenga nilie mtaja Katika Uzi Huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…