Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada .hii inamaanisha huna jibuIsrael itaendelea kushinda na kushinda na kuendelea kushinda hadi ishinde sana
"Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena, hata milele". Ezekiel 37:20-21
Mkuu hiyo mambo Yesu hayakubali ndiyo maana alikuja kuhubiri upendo kwa kila mmoja wetu
Acha unafk mbona kitabu kimeshabdiliwa ..ndio maana kuna agano jipya na la kale ..bibilia mda wowote mkitaka mna edit tuhUfunuo wa Yohana 22:18 Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Mtume hakuhubiri upendoHahaha ila kwenye Quran ndio wapenda Vita sio
Mtume alihubiri Mungu mmojaMtume hakuhubiri upendo
Ndiyo mungu mmoja wa kweke yeyeMtume alihubiri Mungu mmoja
Unafiki siachi. Nakuhakikishia hiloAcha unafk mbona kitabu kimeshabdiliwa ..ndio maana kuna agano jipya na la kale ..bibilia mda wowote mkitaka mna edit tuh
Kwa rekodi yako itakuwa mara ya ngapi ikifanyiwa maboresho?Haitakuwa mara ya kwanza Biblia kufanyiwa maboresho.