kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,594
- 2,207
Mmmmh awamu hii sidhani kama kuna asiye fanya mazoezi mkuu. Kama sio physically basi physcologically unapiga tizi mkuu. Matokeo ni kupwaya kwa nguo zako.Sasa kwa sisi tuliowavivu wa mazoezi tunasaidiwaje?