kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,499
Haha[emoji23] [emoji23] [emoji23] . Kumbe kuna fursa eeh
Kwa wewe tena, Sana tu. 🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha[emoji23] [emoji23] [emoji23] . Kumbe kuna fursa eeh
We acha tu kila walipokuwa wakimuonyesha walikuwa wananiudhi sana maana saa zote yeye yuko busu kuelezea kuhusu mapishi lol! nadhani alikuwa Chef mahali. Yaani mpaka nikawa naongea na screen mrembo anasuburi umkiss msogelee basi japo umkiss hata mara moja, yeye yuko busy tu blah blah blah blah lol! Alipojibu hivyo kwamba hakujua kama walitakiwa wakiss watu walicheka sana maana ilikuwa kwenye kadamnasi.
Bachelorette Bongo ngumi zitaruka na kipindi kufutwa lol! Hata hii nina wasiwasi kuna siku mtu atakimbizwa hospital baada ya kutolewa ngeu.
Haha zitapigwajeee, maana na kuna married but availableHehe!, pole zake mbona..
Tehe!, ningependa kweli lakini kuona inakuwaje bongo. Jinsi ambavyo MMU ya humu inavyokuwa, so imagine ifanyike show kabisa ya kutafuta mchumba wa kike au wa kiume. Sintashangaa kuona siku anajitokeza mke au mume wa mtu kusema mwenzake kadanganya kusema yuko single anatafuta mchumba, na hapo ndo ngumi zitakapoanza. 😀
hahahaa..love.Kuna sehemu nimeona kaandika love,bila shaka itakuwa ni mambo ya mapenzi mapenzi, Heaven Sent Jamaa anasemaje hapa?
Kasema hivi, hana hela sasa akifiria kuna mapumziko ya siku nyingi kuanzia tarehe 9/12/2016 siku ya Ijumaa itakuwa sikukuu ya Uhuru, halafu Jumamosi, Jumapili na Jumatatu tarehe 12/12/2016 pia itakuwa sikukuu ya Maulid kwa hiyo anajifikiria atatanua vipi hizo siku nne mfululizoKwa kiswahili kasemaje?
Eti we ni mbeya girlHe he he em jitulize tu huko. Bado nipo nipo
Yeah ni mnyaki kabisaaEti we ni mbeya girl
Mkongwe mimi nilijua ni HS mpaka nimesoma comment yako ndo nimeshtuka[emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 442719[emoji85] [emoji85]
Usikimbie tafadhari mpatie nafasi jamaa akuinue kidogo tu hatokuumiza yaani kistaarabu akikuumiza utanieleza nimtumbue eti jamani eheeeee!!...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haha zitapigwajeee, maana na kuna married but available
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hehe, umenikumbusha MBA, na wanaweza kuwa wengi zaidi ya wahitaji wa kweli wasiokuwa nao kabisa.
Nashukuru mpendwaUkweli hata mimi dada huwa ananikosha kwa uandishi wake ambao humfikirisha mtu ili kusudi uweze kumuelewa. Namfagilia.
Hapo lazima kichwa kimuumeKasema hivi, hana hela sasa akifiria kuna mapumziko ya siku nyingi kuanzia tarehe 9/12/2016 siku ya Ijumaa itakuwa sikukuu ya Uhuru, halafu Jumamosi, Jumapili na Jumatatu tarehe 12/12/2016 pia itakuwa sikukuu ya Maulid kwa hiyo anajifikiria atatanua vipi hizo siku nne mfululizo
To you Dearest Heaven Sent,
Seems like I have fallen in love with you…you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing that has ever happened to me and i think you'll make my life complete. I adore you from my heart and soul and want to let you know that you are my little angel who i love the most. Only mwandiko wako was enough to fill my heart with this enormous LOVE. You make me so happy anytime i read ur post/comment..., that all I need now is you to make my life complete.
Your's the one and only Korboto.
cc atoto fanya mazoezi ya kubeba kapu la mama.
Hivi atoto hata we umeshindwa kunifafanulia hicho kiingilishi kweli!