Andiko la Mwisho la Ole Mushi;Ukoloni unarudi Tanzania

Huwa nawaambiaga watu ukijifanya wewe ni shujaa wa kalamu iko siku tu watakufuta na ukabaki historia
 
Hii aya bdo ikawa exit door ya ndugu yetu.

Kuna kijana anaitwa Lucas mwashambwa tangu Ole Mushi awe confirmed anaugua, amekuwa anajitahidi sana kupambania pengo lililokuwa linaenda kuachwa wazi na kijana Mushi. Sijawahi kumsoma akimtaja kada mwenzake zaidi ya kusifia upuuzi wa watawala.

Nchi imeharibiwa na CCM mbele yetu. Tunashangilia chama kama mazuzu vile.

Tufike mahala tukatae kuwa manamba wa CCM, tuisaidie nchi
 
Hivi unayeandika unajitambua. Yeye ameandika mawazo yake akimaanisha lahiti kama angepewa nafasi ya hao viongozi hivyo ndivyo vingekuwa vipaumbele na strategies zake. Kwa sasa yeye kama yeye hawezi kwa sababu vitu vingi ni wajibu wa serikali na yeye yuko nje ya serikali
 
Upuuzi, kwani kufanya aliyosema Hadi awe Kiongozi? Uongozi unapiganiws sio kupewa.Apewe kama nani?
 
Ukoloni haupo
 
Sasa mbona yule Gilbert A Massawe alisema Ole Mushi alikuwa akiitetea DP world na mama Samia?

Naanza kuhisi tuhuma dhidi yake ni za kweli.

Mafioso anakuuwa baada ya kujisogeza karibu yako akijidai ni rafiki yako wa hali na mali.

May his soul rest in peace.
 
Daaah andiko lenye hisia Kali lenye ukweli mchunguu!!
Hakika Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana na himidiwe!!

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kwa Andiko hili he couldn't be safe anymore

Graduate kuendesha bodaboda honestly it hell

Nothing to say but see you again Thadei ole Mushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…