pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Ikiwa imebaki mechi moja kwa kila group kwenye fainali za kombe la dunia hali si shwari katika kikosi na kambi ya team ya taifa ya CAMEROON baada ya mlinda mlango namba moja wa nchi hiyo kutofautina na kocha wake kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Switzerland na kufanya kocha huyo kumuondoa kwenye mipango ya michezo iliyofuata ikiwemo jana dhidi ya serbia.
Adres onana amesimamishwa kuichezea team ya taifa ya CAMEROON baada ya kocha wake rigobert song kumuacha kwenye mechi dhidi ya serbia.
Devis epassy alianza kwenye mechi dhidi ya Serbia iliyomalizika kwa sare ya goli tatu kwa kila team, huku report inadai kuondolewa kwa onana imesababishwa na mlinda mlango huyo kutokukubaliana na kocha wake juu ya style yake ya uchezaji kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Switzerland .
Wakati huo shirikisho la soka nchini CAMEROON limethibitisha taarifa hizo na kudai kwamba mlinda mlango huyo ameomba kukaa kando kwenye majukumu ya team ya taifa kwa mda usiojulikana wakati huo kocha akimuondoa kwenye kambi ya team ya taifa na chama cha soka nchini CAMEROON kimesema kipo nyuma ya maamuzi hayo na wanaungana na kocha wao kwenye hilo.
Kwenye mechi dhidi ya uswis onana alikuwa na touches (26) nje ya box lake mara ya mwisho kwa mlinda mlango kufanya hivyo ilikuwa ni mwaka 1996.
Wakati sakata hilo likiendelea onana amekiri hawezi kuacha style yake hiyo ya uchezaji kwani ndio walinda mlango wa kisasa wanavyotakiwa kucheza huku akisisitiza samir handanovic ndio kocha wake anayemfindisha aina hyo na neur ndio role model wake katika aina hiyo mpya ya uchezaji wa kisasa kwa walinda mlango.
Adres onana amesimamishwa kuichezea team ya taifa ya CAMEROON baada ya kocha wake rigobert song kumuacha kwenye mechi dhidi ya serbia.
Devis epassy alianza kwenye mechi dhidi ya Serbia iliyomalizika kwa sare ya goli tatu kwa kila team, huku report inadai kuondolewa kwa onana imesababishwa na mlinda mlango huyo kutokukubaliana na kocha wake juu ya style yake ya uchezaji kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Switzerland .
Wakati huo shirikisho la soka nchini CAMEROON limethibitisha taarifa hizo na kudai kwamba mlinda mlango huyo ameomba kukaa kando kwenye majukumu ya team ya taifa kwa mda usiojulikana wakati huo kocha akimuondoa kwenye kambi ya team ya taifa na chama cha soka nchini CAMEROON kimesema kipo nyuma ya maamuzi hayo na wanaungana na kocha wao kwenye hilo.
Kwenye mechi dhidi ya uswis onana alikuwa na touches (26) nje ya box lake mara ya mwisho kwa mlinda mlango kufanya hivyo ilikuwa ni mwaka 1996.
Wakati sakata hilo likiendelea onana amekiri hawezi kuacha style yake hiyo ya uchezaji kwani ndio walinda mlango wa kisasa wanavyotakiwa kucheza huku akisisitiza samir handanovic ndio kocha wake anayemfindisha aina hyo na neur ndio role model wake katika aina hiyo mpya ya uchezaji wa kisasa kwa walinda mlango.