beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Kiungo mchezeshaji wa klabu ya Soka ya Barcelona, Andres Iniesta(33) ametangaza kuondoka klabuni hapo ifikapo mwisho wa msimu huu 2017/18
Kiungo huyo raia wa Uhispania aliyeichezea klabu hiyo kwa miaka 22 na kushinda mataji 31 amesema hataweza kucheza dhidi ya Barcelona atakapoondoka klabuni hapo
Iniesta maarufu kama 'Magician' ni mchezaje pekee kuwahi kuwa mchezaji bora(Man of the match) katika fainali ya EUROs, fainali ya Kombe la Dunia na fainali ya Klabu Bingwa Ulaya
Aidha, Iniesta amecheza misimu 16 na kuifungia klabu hiyo ya Barcelona magoli 57 ikiwemo magoli mawili ambayo hayawezi kusahaulika kwa mashabiki wa Barcelona(Kombe la Dunia dhidi ya Nertherland, 2010 na dhidi ya Chelsea katika dakika za nyongeza kwenye michuano ya Klabu bingwa Ulaya, 2009) na kucheza mechi 669
Je, mwanasoka utamkumbuka Iniesta kwa lipi wakati akiwa Barcelona
Kiungo huyo raia wa Uhispania aliyeichezea klabu hiyo kwa miaka 22 na kushinda mataji 31 amesema hataweza kucheza dhidi ya Barcelona atakapoondoka klabuni hapo
Iniesta maarufu kama 'Magician' ni mchezaje pekee kuwahi kuwa mchezaji bora(Man of the match) katika fainali ya EUROs, fainali ya Kombe la Dunia na fainali ya Klabu Bingwa Ulaya
Aidha, Iniesta amecheza misimu 16 na kuifungia klabu hiyo ya Barcelona magoli 57 ikiwemo magoli mawili ambayo hayawezi kusahaulika kwa mashabiki wa Barcelona(Kombe la Dunia dhidi ya Nertherland, 2010 na dhidi ya Chelsea katika dakika za nyongeza kwenye michuano ya Klabu bingwa Ulaya, 2009) na kucheza mechi 669
Je, mwanasoka utamkumbuka Iniesta kwa lipi wakati akiwa Barcelona