Andrew Nyerere pichani akihudhuria mkutano wa Chadema Arusha

Andrew Nyerere pichani akihudhuria mkutano wa Chadema Arusha

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Pichani ni Andrew Nyerere (mwenye mvi) mtoto wa Rais wa kwanza wa Tanzania, akiwa katika mkutano wa Chadema Sanawari, Arusha.
IMG_9992.jpeg
 
Jamaa amechoka!!
Ujamaa ni tatizo aisee.

Sidhani kama hata anamiliki kishamba cha ufuta au korosho ili kuusumbua mwili na pia kuchangamsha akili.
 
Back
Top Bottom