6a imekaa kishamba, kwangu naona 4XL ni bora kuliko hiyoUpgrade angalau kwenda 6a ila 8 pro utafaidi update nyingi zaidi, 9 Bado bei ya kujenga kijijini tusubiri zishuke bei
8 pro imekaa kinyama sana Aisee, ila ngoja nipambane na 4a 5g hapa.Upgrade angalau kwenda 6a ila 8 pro utafaidi update nyingi zaidi, 9 Bado bei ya kujenga kijijini tusubiri zishuke bei
Kama ambavyo na Mm naamini iPhone hakuna simu humoGoogle Pixel hakuna simu mule.
Umetumia ipo mkuu ? Nini kilikifanya ufikie hio conclusion?
Nimetumia 4, 5 na sasa natumia 5a nimeishia hapo, lakini hata hizo nyingine ni hovyo tu ukiondoa camera.... ni suala la muda tu tutarudisha heshima ya Samsung.Kama ambavyo na Mm naamini iPhone hakuna simu humo
Sawa mkuu...kwenye simu ni kipi unaangalia kama ubora ? Mimi ni fluidity ya UI yaani sipendi lags, Screen resolutions ya kibabe, Camera Kali, Customizations, Updates na security. Nilitumia Samsung kwa miaka mingi nilimaliza na note 10+ wapo vizuri pia ila Camera zao post processing ya picha zao ni ovyoo (Software) hadi unaweza kuhisi Samsung wanataka kutengeneza rangi yao mpya ya ngozi ya binadamu...ipo kama kuelekea manjano hasa usiku... kwenye updates Samsung nao walikua kipengele... angalau sasa hivi wamezinduka.Nimetumia 4, 5 na sasa natumia 5a nimeishia hapo, lakini hata hizo nyingine ni hovyo tu ukiondoa camera.... ni suala la muda tu tutarudisha heshima ya Samsung.
Xl simu Mpwa Ile juzi Kuna dogo alichukua 6a lakini naona camera yangu ya 4xl inalingana na yake6a imekaa kishamba, kwangu naona 4XL ni bora kuliko hiyo
Mkuu uko sawa kabisaa. Mimi pia hata unipe iphone nitapokea na kuigawa tu.Google Pixel hakuna simu mule.
Saivi inatembelea ngapi hii8? umeni Inspire sana ninayo 4a 5g screen niliambiwa 270k nikaitunza kwnza vile nina infinix yangu kwanzaTrue ila hii imekaa unyama sana,
Tazama ilivyokua embedded na launcher ya kawaida
View attachment 3126000
simu ni ipi...?Google Pixel hakuna simu mule.