kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
- Thread starter
-
- #61
Mnashindwa kuelewa hoja yangu na kuanza vijembe visivyo na maana,Kwa hiyo wewe ndio umeona pros and cons za ku allow developer mode kuliko wataalamu wooooote wa NMB. Aisee [emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba Bank waliweka hiyo feature bila kujua kwamba haina faida
Wewe sikia, mimi nimeingia kwenye app kama user ikanisumbua na ndo maana nimeandika hapa chanzo kikubwa cha kunisumbua.Bado upo kwenye theory and introduction levels of developers and hackers world.
Kwani usingefanya hicho unachok8fanya kama unadhani ni rahisi kama udhaniavyo?
Unarudia kilekile nilichokwambia, ukishakua na kukomaa utajifunza kuongea na kutenda tofautiWewe sikia, mimi nimeingia kwenye app kama user ikanisumbua na ndo maana nimeandika hapa chanzo kikubwa cha kunisumbua.
Kama NMB wanajiamini si watangaze bug bounty programme basi niingie kama hacker tuone securities zao, kwa sasa siwezi ingia kama hacker na nikaweka mambo wazi sababu sheria zitanibana, waambie waweke bug bounty kule hackerone kama wanavyofanya paypal halafu nistue hapa
HahaahaaaaaaUnarudia kilekile nilichokwambia, ukishakua na kukomaa utajifunza kuongea na kutenda tofauti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] that's too offensive, namuombea msamaha tafadhali, next time atakuja akiwa amejipanga..Inawezekana kipindi mimi naanza kazi, wazazi wako walikuwa hata hawajajua kama watakuja kukutana na kukupata wewe, haha.
Young man, control your ego. Sehemu mimi nimefanya kazi, wewe hata kazi ya ulinzi hauwezi kupewa.
Mkuu naomba unipe njia ya kulog in kwenye hii app ya nmb maana tangu Jana imeshindikanaHahaahaaaaaa
Unatia huruma, wanaonijua humu wakiona comment yako watakushangaa. Mwenzako kaomba kazi zangu, sijampa lkn akaletewa na watu wanaojua kazi zangu.
Sijaanza leo wala jana kwenye hii sector chief, kama una point ongea, kama una vijembe count me out
JF kuna majuha na wajuaji hatari... 😀😀Una hoja alafu jamaa anavimba kujifanya yeye born town kitambo kumbe anakwepa swali la msingi ulilomuulize, angekua muungwana angejibu swali kwanza alafu mwambafaizeshen zingefuata baadae
Salute kwako walishe vyuma vingine akili ziwakae sawa
404: Page Not Found
Mnajikuna then mnacheka wenyewe, hahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] that's too offensive, namuombea msamaha tafadhali, next time atakuja akiwa amejipanga..
Hivi umemuelewa mtoa mada kweli, au ndio upo kwa ajili ya kubishana?Bado huna hoja, kajifunze zaidi kuhusu cyber-security uje tuanze kubishana kwa kujenga hoja.
Kha! Wewe yako iko wapi? Tuanzie hapo kwanza, maana naona unarusha mipasho tu hapa. Mtoa mada kaongea point sijui kwanini umeshindwa kumuelewa. Huwezi kuniambia nisitumie dev option nikitumia app yako.Hizo apps zake zinaingiza Tsh ngapi? Au zimebeba risk kiasi gani kwa watumiaji? Unafananisha draft na financial app mzee? Na wewe wale wale tu. Akasome guidelines za OWASP ndio aanze ubishi
Wenye kujua hua hawanaga dharau.Hivyo vi app vyake hata user akiruhusu rooting hakuna issue
Mimi pia nimekutana na hii changamoto mpaka nimejikuta natenda dhambi ya kutukana hovyoSio mbobezi wa haya mambo ila napata shida ku login ktk hii app tangu wai update...nime update lakini inanigomea kuingia. Kila nikiweka nywila napata ujumbe " sorry request failed. Please try again later"
Tatizo ni nn wataalamu...inakera sana
Nadhan ugumu wa uelewa.mbona nimefanya update ndan ya dk 5 imekubalMimi pia nimekutana na hii changamoto mpaka nimejikuta natenda dhambi ya kutukana hovyo
Sasa hivi ndo nimepata hayo maelekezo ila mwanzoni walikua wananiambia tu mambo ya connection problemsNadhan ugumu wa uelewa.mbona nimefanya update ndan ya dk 5 imekubal
Fata maelekezo nmb app ukisha update mbona rahis sana si unaelekezwa kwenda kui activate kwa ile 150"66# pale unapata otp unaenda kwenye app chap kwaa inakubal sasa ulikua unafel wap?