Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

Inatakiwa wajuzi wajibu hoja kwa ufanisi bila kutunishiana misuli. Atupo GMY hapa. Big Up kali linux
Wewe dogo unajicontarict sana, huna msimamo. Mara ukatae kutunishiana misuli, mara useme tuweke mashindano.

Hadi naona najiaibisha tu kukuquote
 
Sio kwa kutishana uku. Mbna hii app nayo UI mbaya sana. Arafu ni nulled game App. 😅😂😂😂 developer wa mchongo. Ujanja mwingi wa ku edit code za free basi unajiona developer. Hizo coin unawauzia wabongo. Hahaha 😅😂😂😂, system za ku copy nbanaa ku edit zina shida sana
Dogo unaita app mbaya nakubaliana na wewe 100% lakini pia Nenda kasome reviews zake playstore basi, usiweke hate kwenye reality, face facts mdogo wangu. Niambie ubaya upo wapi mimi nikiendelea kumantain app nitarekebisha, simple and clear, lkn kasome kwanza reviews za waloitumia. Mm sio kama devs wanaokataa challenges kwenye projects zao

Na kwa taarifa yako napata requests nyingi watu wanaomba niendelee kumantain hio app,

Pia Unashangaa kununua coins? Dogo unachekesha sana, nikisema nitag watu walokua wanatumia app waje wakujibu hapa utajiona mjinga, watu walikua wananunua coins kujoin leagues mpaka nilipostop kuweka leagues. Hio picha apo ofcoz ni demo tu ya playstore sio real coins hizo lkn coins zilikua zinanunulika mpaka nilipostop kuimantain hio app, na kwa taarifa yako naendeleza kuimantain muda si mrefu.

Kasome reviews playstore af linganisha na apps zako zote ulizoweka.

Nulled scripts? Nishasema unatumia sana nulled scripts ukidhan kila mtu anatumia. Kaniletee algorithm ya lastcard au arubastini nlokopi basi
 
Lakini mkuu ungeweza kufanya nini kwa upande wa security ikiwa unaona wanaficha kitu flani, je unaweza kukifichua kama inawezekekana we fichua tu weka adharani
Mie ni professional sifanyi kazi kiswahili na kwa hypes, nishasema toka huko juu, waambie NMB wafungue bug bounty program, niko pale na ndoo yangu ya heineken nawasubiri
 
Mimi sio nikupe mm nakutengenezea ukitaka, au ni clone app yako arafu niweke katika store yangu na ww udownload 😂😂😂
Una utoto mwingi sana, comment yako ya mwisho hii kukuquote af nakuweka kwenye ignore list, lakini ukikua ukaja kurudi kusoma comments zako hapa I'm sure utaona aibu.

Nakupa ushauri wa bure,
Kwanza apps zako zilizopo playstore zote karibu zote ni 'early access', nyingine bado zipo kwenye development mode na mojawapo ulitengeneza for very very old android versions, sasa muda wa kufanya kazi zako hauna lakini una muda wa kuja kubishana hapa na kuanzisha off-topics, badala ujenge hoja au ukakae ujifunze zaidi, u-deal na projecfs zako uko hapa kuongea off-topics tu
 
Inasikitisha kuona uzi umetoka nje ya mada lengwa.

Nakazia tena hii App mimi nilifungua kama mtumiaji wa kawaida na haya ni maoni yangu kama mtumiaji wa kawaida.

Sasa mnaoingiza ushindani wa skills za coding, hacking, projects na mambo mengine fungueni nyuzi za hayo mambo then mnitag na hakikisheni mko vzr kweli kweli
 
Inaonekana una point ila utoto wako unazidi uzito wa point zako

1)Sipo hapa kushindana, my time is limited siwezi poteza muda kwa mambo ya kitoto kama hayo. Nipo hapa kukosoa huduma ambayo tumelipia na kupoteza muda wetu kuunganishwa ili kuipata.

2)Unasema tuhack kwenye hio app, nilishatoa jibu huko juu. Kaongee na NMB wafungue bug bounty program kwenye professional site yyt ya bug bounty (na-recommend hackerone) wakikubali nitumie link ya hio bug bounty program niingie mzigoni.

3)Naona umekariri neno 'Nulled scripts' kwa sababu unazitumia sana, naweza reverse engineer apps zako zote nikakuonesha ulipotumia hizo modified scripts za watu hadi ulipozitolea ila sina hio time na huwa sijibu utoto kwa utoto. Mfano kwenye hizo apps ulizoweka playstore kuna game moja umeclone, scripts ziko wazi kabisa hio ni clone

4)Hahahahaaa unaongelea github? Una misuli? Mzee watu contributions zetu zinafahamika hadi silicon valley kwa wazungu unaow-admire wewe. Big FOSS projects kama Wordpress, Gutenberg, OWASP ZAP kuna codes zangu humo, na sina github acc moja, zipo tatu na zote zipo active (coding, cyber, web3). Anyway Back to the topic sina time ya kufanya huo utoto, nmetengenezea watu zaidi ya kumi humu jf systems ambazo hadi leo wanatumia na hizo app sikutaka hata kushare lkn users wanaojua kazi zangu ndo wameshare. Na kwa taarifa yako hio app waloshare ni apps ambazo huwa natengeneza nikiwa sina kazi ya kufanya, yaani nikiwa nataka kurefresh

Kama kazi zangu hazikufanyi kuappreciate uwezo na mchango wangu basi endelea na mashindano yako na watoto wenzio ila siku ukikua njoo tujenge hoja bila kuweka mashindano yako ya kipuuzi, BTW siko hapa kuimpress watu
Sawa bro tumekuelewa, wacha tujifunze kupitia .... napenda kujifunza sana. Nilianza kuosma comments kutoka mwisho
 
Hivi Bongo, kampuni zinalipa fedha pale unapowapa hints za namna apps zao zinavyoweza kuwa hacked? Au taarifa za mteja zinavyoweza kuvunwa na kutumiwa vibaya?

If Yes, mnawasilianaje nao?
Vodacom wana bounty program, wanalipa up to 2000usd kama sikosei, kulingana na uzito wa issue uliyoibua. Wasiliana nao kama skills zipo.
 
App hata iwe kali vipi, kama inavikwazo kwa watumiaji, inapoteza ubora. Security na easiness are inversely proportional, chaguo ni lako mtengenezaji.
 
Inawezekana wapo sawa. Enabling developer options inaweza kutumika kama mwanya wa kuruhusu/kuwezesha app App itumike kwenye debug mode, jambo ambalo sio salama, inawezekana pia kwa framework waliyotumia kutengeneza app yao (nafahamu hawajatumia native) hakuna njia rahisi ya kuzuia/ku detect app ikiwa ina run kwenye debug Mode.
 
Back
Top Bottom