hata mm wananiambia connection problem, tangu niUpdate sijafanikiwa kutumia app yao inasumbua kinomaSasa hivi ndo nimepata hayo maelekezo ila mwanzoni walikua wananiambia tu mambo ya connection problems
JAMANI MBNA MNABISHANA SANA, NA KUPEANA MIPASHO.Hapo kwenye password 123456 mbona hujibu? Anayezuia developer mode na unaye allow password 123456 nani achekiwe?
Wewe umetengeneza kitu gani ambacho kipo public wanatu wanatumia. Tuoneshe kazi yako kwanza, akuna dev ambae afanyi makosa akuna alie kamilikaWapuuzi sana Developers wa NMB. Nimeshindwa kufanya transactions kisa nime enable developer options. Yani concept ya user friendliness kwao hawana kabisa.
Inatakiwa wajuzi wajibu hoja kwa ufanisi bila kutunishiana misuli. Atupo GMY hapa. Big Up kali linuxkali linux umetoa hoja za msingi unfortunately umekutana na hao arrogant developers kutoka hiyo Bank au kampuni ilo develop hiyo app.
Na industry ya technology kwa Tanzania(Katika baadhi ya makampuni) ndo ilivo yaani mtu ukileta challenge mezani au uka question design ya kitu fulani anaanza kutunisha misuli ya seniority yake na taka taka za mshahara na maeneo aliko fanya kazi ili kukutisha tu.
Hizi scenario nimekutana nazo kwenye kampuni fulani hapa mjini, yaani kuna watu hawa accept na kufanyia kazi challenges hata siku moja just because wao wamekua labbelled seniors, au with many years of experience.
Clean app cache arafu fungua tena inakubaliMkuu naomba unipe njia ya kulog in kwenye hii app ya nmb maana tangu Jana imeshindikana
Kitu muhimu kufikisha ujumbe wa shida uliokutana nayo katika APP, wausika tunaomba maelezo au usaidiziHello bosses and roses....
"Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia ulichokificha. Nikiwa nafanya security audit yoyote ile nikagundua developer ametumia sana 'secrecy' kwenye system yake basi hapo naongeza chupa ya Heineken sababu anakua ameshanipatia uhakika kwamba KUNA LOOPHOLES NYINGI, NA KWA KUWA NI NYEPESI KUWA EXPLOITED YEYE KAAMUA KUZIFICHA BADALA YA KUZIZIBA. Yaani unakua hauna tofauti na mtu anaefunga mlango kwa komeo tu bila kufuri halafu anaweka makuti mbele ya mlango ili watu wasiuone mlango na wasijue hajaweka kufuri.
Turudi kwenye story ya leo. Leo nimeupdate app ya NMB mkononi lakini cha kushangaza ikawa haifunguki kama kawaida. Nikafocus nayo kumbe pale ukiibonyeza tu ikawa inanipa message kwa mtindo wa 'Toast' kwamba "YOU HAVE ENABLED DEVELOPER OPTIONS, PLEASE GO TO YOUR SETTINGS AND DISABLE THEM TO CONTINUE USING THIS APP" msg inawezekana ikatofautiana grammar lkn ujumbe ni ule ule.
Sasa waliotengeneza mfumo wa Android wenyewe wameruhusu Developer options wakijua ni safe, na developer wa APP hana haja ya kuziogopa kwamba zitasababisha app yake iwe cracked au manipulated. Hivi kama unaogopa mtu alo-enable developer settings kwenye simu yake, Je yule aloi-root kabisa simu yake itakuaje sasa. Developers wa android OS wanajua zile 'Developer options' hazipaswi kuwa na madhara lakini ni 'Top Level' tu na haina haja ya mtumiaji wa kawaida kuzifahamu unless awe na mahitaji nazo. Ndio maana zikawekwa kule.
Kwa mfano kwa watumiaji 'Advanced' wa android ambao wao muda mwingi developer options zipo 'on', mnataka tuwe tuna switch to and fro NMB MKONONI kuzima na kuwasha developer settings?
Najua hofu kubwa ni kuogopa app ya NMB Mkononi kuwa cracked, lakini tafuteni mbinu nyingine kuziba loopholes na sio kuficha mlango ulipo kwa makuti.
Happy coding.
kali linux
Acha majigambo ya kijinga na wewe Deleted01 Wewe ndo una EGO. Bado ujakuwa ki akili, unafanya kazi nzuri ndo utangaze kwa watu. Bado ujakuwa bado una utoto, kazi yako na maisha yako atuitaji kujuwa. Tunaitaji kuchangia hoja na kuelimishana na wengine wapate kujifunza. Kila mtu akiweka mshahara wake anao lipwa hapa si itajiona πππInawezekana kipindi mimi naanza kazi, wazazi wako walikuwa hata hawajajua kama watakuja kukutana na kukupata wewe, haha.
Young man, control your ego. Sehemu mimi nimefanya kazi, wewe hata kazi ya ulinzi hauwezi kupewa.
Sio kwa kutishana uku. Mbna hii app nayo UI mbaya sana. Arafu ni nulled game App. π πππ developer wa mchongo. Ujanja mwingi wa ku edit code za free basi unajiona developer. Hizo coin unawauzia wabongo. Hahaha π πππ, system za ku copy nbanaa ku edit zina shida sanaHizo apps zake zinaingiza Tsh ngapi? Au zimebeba risk kiasi gani kwa watumiaji? Unafananisha draft na financial app mzee? Na wewe wale wale tu. Akasome guidelines za OWASP ndio aanze ubishi
Ila wabongo bn hapo ukute hata kujaribu kucheza bado ila ushamuhukumu mwenzako kacopy codeSio kwa kutishana uku. Mbna hii app nayo UI mbaya sana. Arafu ni nulled game App. [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] developer wa mchongo. Ujanja mwingi wa ku edit code za free basi unajiona developer. Hizo coin unawauzia wabongo. Hahaha [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23], system za ku copy nbanaa ku edit zina shida sana
Mimi sio nikupe mm nakutengenezea ukitaka, au ni clone app yako arafu niweke katika store yangu na ww udownload πππIla wabongo bn hapo ukute hata kujaribu kucheza bado ila ushamuhukumu mwenzako kacopy code
Em nipe app unayoweza kucheza lastcard au albastini kibongobongo yaan Kwa sheria zetu wabongo
Ni shida sana mkuu, growth is hidden in solving those challenges. Mimi nikiwa sina kazi napenda sana kwenda tu playstore kuangalia apps za wenzangu zinafanyaje kazi, user interface, user experience etc... sababu najua siko perfect, hawa challenges hawataki na kibaya zaidi bora app ingakua sio service lkn tunalipia hio service, kuna makato baadhi huwa yako associated na kutumia simbankimgkali linux umetoa hoja za msingi unfortunately umekutana na hao arrogant developers kutoka hiyo Bank au kampuni ilo develop hiyo app.
Na industry ya technology kwa Tanzania(Katika baadhi ya makampuni) ndo ilivo yaani mtu ukileta challenge mezani au uka question design ya kitu fulani anaanza kutunisha misuli ya seniority yake na taka taka za mshahara na maeneo aliko fanya kazi ili kukutisha tu.
Hizi scenario nimekutana nazo kwenye kampuni fulani hapa mjini, yaani kuna watu hawa accept na kufanyia kazi challenges hata siku moja just because wao wamekua labbelled seniors, au with many years of experience.
Inaonekana una point ila utoto wako unazidi uzito wa point zakoJAMANI MBNA MNABISHANA SANA, NA KUPEANA MIPASHO.
1: MADA INAHUSU NINI, #Ajibiwe mada
2: KAMA WOTE MPO FITI, MU HACK IYO APP THEN MBISHANE NANI KAIBA PESA MINGI
3: MNAJIFANYA DEV KUMBE MNA DOWNLOAD NULLED SCRIPT MNAKUJA KUJISIFIA HAPA. TUNA WACHEKI TU ππ ACHENI KELELE
4: KAMA MKO FITI KILA MTU A SHARE GIT/GITLAB YAKE HAPA TUONE KAZI.
5: kali linux , HDMI , PakiJinja
Mimi Termux App zangu hizo zipo playstore na app store. Link : Android Apps by Fadsel Tech Apps & Games on Google Play
Kama unajua kwamba hakuna dev alokamilika kwa nn unataka kutumia mashindano ya kipuuzi?Wewe umetengeneza kitu gani ambacho kipo public wanatu wanatumia. Tuoneshe kazi yako kwanza, akuna dev ambae afanyi makosa akuna alie kamilika