Android users tuna kikao cha dharura

Android users tuna kikao cha dharura

contask

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2021
Posts
780
Reaction score
1,579
Habari Wakuu,

Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.

Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.

Ova
 
Habari Wakuu,

Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.

Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.

Ova
Brand ni samsung tuh
Wengi mlikuja na ulimbukeni wa kushobokea hayo madudu bila kufanya upembuzi yakinifu
 
Nisikudanganye Mzee. Watu wengi wanazipondea sana simu za kichina but sometime ni Bora sana kuliko hizo simu zetu za Kimarekani.
Mi nna Google pixel pia but I don't like it.
Utaskia inakwambia problem on readng battery meter.
 
Nielezee kwa kifupi
Simu haiwezi kufa mashine yaani circuit, kufa kwa mashine ni iwe imevunjika kabisa.
Ni hivi.
Mashine(circuit)ni muunganiko wa components mbali mbali mfano capacitor, resistor, diode na IC. Sasa kinachotokea Ni kwamba utakuta kuna kitu kimojawapo kati ya hivyo nilivyovitaja vimepata short au zimefail kufanya kazi hivo inapelekea mfumo wa saket kutokukamilika, na hapo ndipo simu itakapogoma kuwaka.

Sasa tatizo linakuja kuwa ni hawa mafundi wanakuwa hawana uwezo wa kugundua kuwa ni kipi kimefail ambacho kinafanya saket isikamilishe mzunguko. Huu utambuzi pamoja na utatuzi unahitaji vifaa na elimu kitu ambacho mafundi wetu hawana, sasa ndipo hili la saket/mashine imekufa linatpotokea kwahiyo unatakiwa ubadili mashine.
Kumbe ni ki diode tu kidogo kama sisimizi ndo kilichozingua.

Mafundi wengi Ni waongo hawaelewi hata concept ya hardware wanachoweza ni kubadili tu vi spear kama vioo, betri na charging port tena wenyewe wanasema charging system.
 
Habari Wakuu,

Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.

Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.

Ova
= dharura.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nielezee kwa kifupi
Simu haiwezi kufa mashine yaani circuit, kufa kwa mashine ni iwe imevunjika kabisa.
Ni hivi.
Mashine(circuit)ni muunganiko wa components mbali mbali mfano capacitor, resistor, diode na IC. Sasa kinachotokea Ni kwamba utakuta kuna kitu kimojawapo kati ya hivyo nilivyovitaja vimepata short au zimefail kufanya kazi hivo inapelekea mfumo wa saket kutokukamilika, na hapo ndipo simu itakapogoma kuwaka.

Sasa tatizo linakuja kuwa ni hawa mafundi wanakuwa hawana uwezo wa kugundua kuwa ni kipi kimefail ambacho kinafanya saket isikamilishe mzunguko. Huu utambuzi pamoja na utatuzi unahitaji vifaa na elimu kitu ambacho mafundi wetu hawana, sasa ndipo hili la saket/mashine imekufa linatpotokea kwahiyo unatakiwa ubadili mashine.
Kumbe ni ki diode tu kidogo kama sisimizi ndo kilichozingua.

Mafundi wengi Ni waongo hawaelewi hata concept ya hardware wanachoweza ni kubadili tu vi spear kama vioo, betri na charging port tena wenyewe wanasema charging system.
DUh kumbe
 
Habari Wakuu,

Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.

Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.

Ova
Tutakujibu kikaoni
 
Back
Top Bottom