contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Nov 8, 2024 Thread starter #61 mito said: Mbona mwanzo ilikuwa inaupdate vizuri tu Click to expand... KAma ni hvyo bas changamoto itakua kwenye storage au version ya simu hairuhusu kupokea update
mito said: Mbona mwanzo ilikuwa inaupdate vizuri tu Click to expand... KAma ni hvyo bas changamoto itakua kwenye storage au version ya simu hairuhusu kupokea update
Mtukutu Mkuu JF-Expert Member Joined Jul 10, 2022 Posts 1,117 Reaction score 1,403 Nov 8, 2024 #62 Wengi wetu tunanunua used phone na refurbished Mara Nyingi refurbished phone zinatoka china Huko wanakiwanda Kabisa Cha kufufua simu na kuzirudisha zikiwa Mpya Kabisa Tena boksi wanfunga [emoji51] Baadhi ya simu zinakuwa imara na nzuri Tu Kwa matumizi Lakini ya baadhi ya simu zinakuwa errors kibao mara battery , mara kujirestart Ila ukitafute nunua simu zipo simu Mpya Kabisa madukan tunalijua Hilo sema mfuko wa shati ni WAKITENGE binafsi natumia pixel Pia zinachangamoto za kujirestart
Wengi wetu tunanunua used phone na refurbished Mara Nyingi refurbished phone zinatoka china Huko wanakiwanda Kabisa Cha kufufua simu na kuzirudisha zikiwa Mpya Kabisa Tena boksi wanfunga [emoji51] Baadhi ya simu zinakuwa imara na nzuri Tu Kwa matumizi Lakini ya baadhi ya simu zinakuwa errors kibao mara battery , mara kujirestart Ila ukitafute nunua simu zipo simu Mpya Kabisa madukan tunalijua Hilo sema mfuko wa shati ni WAKITENGE binafsi natumia pixel Pia zinachangamoto za kujirestart