Android users tuna kikao cha dharura

Android users tuna kikao cha dharura

Wengi wetu tunanunua used phone na refurbished

Mara Nyingi refurbished phone zinatoka china Huko wanakiwanda Kabisa Cha kufufua simu na kuzirudisha zikiwa Mpya Kabisa Tena boksi wanfunga [emoji51]

Baadhi ya simu zinakuwa imara na nzuri Tu Kwa matumizi
Lakini ya baadhi ya simu zinakuwa errors kibao mara battery , mara kujirestart

Ila ukitafute nunua simu zipo simu Mpya Kabisa madukan tunalijua Hilo sema mfuko wa shati ni WAKITENGE

binafsi natumia pixel Pia zinachangamoto za kujirestart
 
Back
Top Bottom