Brand ni samsung tuhHabari Wakuu,
Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.
Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.
Ova
Jamaa alileta shobo na maneno ya vijiweni saivi analia liaFafanua vizuri, bado hujaeleweka vyema
Kilichonikuta kwa samsun AO4s, A04, A03 najuta. Niliambulia mtaji tu ulirudiBrand ni samsung tuh
Wengi mlikuja na ulimbukeni wa kushobokea hayo madudu bila kufanya upembuzi yakinifu
Ukijichanganya kwa kweli umeishaKilichonikuta kwa samsun AO4s, A04, A03 najuta. Niliambulia mtaji tu ulirudi
Ulikuwa mzigo wa biashara ukawa fakeUkijichanganya kwa kweli umeisha
Kuna mstari mwembamba sana kati ya kuanza upya ukiwa na samsung au kuitunza vyema...
HahahaUlikuwa mzigo wa biashara ukawa fake
HahahaHahaha
Unamaanisha kontena lote ulikuta zinavowaka badala yakuandika Samsung ukakuta inaandika singsung
Phantom 6 iliwahi kunizimikia nikiwa na Wife Kitandani.... Ila tu kudondoka kutoka kwenye mto ikaseleleka chini( kwenye matress nzito) ikazima. Haikupona tena.Endeleeni kutucheka na TECNO zetu ila hatunaga hayo matatizo yasio na kichwa wala miguu
= dharura.Habari Wakuu,
Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.
Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.
Ova
DUh kumbeNielezee kwa kifupi
Simu haiwezi kufa mashine yaani circuit, kufa kwa mashine ni iwe imevunjika kabisa.
Ni hivi.
Mashine(circuit)ni muunganiko wa components mbali mbali mfano capacitor, resistor, diode na IC. Sasa kinachotokea Ni kwamba utakuta kuna kitu kimojawapo kati ya hivyo nilivyovitaja vimepata short au zimefail kufanya kazi hivo inapelekea mfumo wa saket kutokukamilika, na hapo ndipo simu itakapogoma kuwaka.
Sasa tatizo linakuja kuwa ni hawa mafundi wanakuwa hawana uwezo wa kugundua kuwa ni kipi kimefail ambacho kinafanya saket isikamilishe mzunguko. Huu utambuzi pamoja na utatuzi unahitaji vifaa na elimu kitu ambacho mafundi wetu hawana, sasa ndipo hili la saket/mashine imekufa linatpotokea kwahiyo unatakiwa ubadili mashine.
Kumbe ni ki diode tu kidogo kama sisimizi ndo kilichozingua.
Mafundi wengi Ni waongo hawaelewi hata concept ya hardware wanachoweza ni kubadili tu vi spear kama vioo, betri na charging port tena wenyewe wanasema charging system.
Tutakujibu kikaoniHabari Wakuu,
Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.
Ikiwa kuna JF member mwenye utaalamu wa kutengeneza mashine za Google Pixel, ajitokeze ili niirekebishe na kujua chanzo halisi cha tatizo hili la kuzima ghafla.
Ova