Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Kwa ndege zipi
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

\Tanzania ya nani? Muuza raslimali na kuruhusu wageni kuiba raslimali kupitia air strip? Tunahitaji Tz Genz ili kutia akili hawa chawa ngurumembe wajielewe
 
Ulishawahi kupanda ndege? Au tuwaachie akina Mwijaku
Pambana upande. Ukiacha kupiga strory viniweni za mpira wa yanga na simba nawe utapanda. Pia acha kupiga domo la siasa daily ndege utapanda. Pili choma vyeti vyako vya academics ili uaassume kwamba hujasoma utapambana vizuri
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Kinachoshangaza, licha ya viwanja vyote hivyo kujengwa, NONGWA ipo kwenye Kiwanja Cha Ndege cha Chato!!!
 
Kinachoshangaza, licha ya viwanja vyote hivyo kujengwa, NONGWA ipo kwenye Kiwanja Cha Ndege cha Chato!!!
Kile kimejengwa Kijijini hakuna Abiria kule na sio Makao Makuu ya Mkoa na Wala hakuna ishu yeyote specific ya kiuchumi inayohitaji uwanja.

Mbaya zaidi ni uwanja mkubwa kuliko mahitaji,so nongwa lazima Kwa sababu ni matumizi mabaya ya pesa za walipakodi.
 
\Tanzania ya nani? Muuza raslimali na kuruhusu wageni kuiba raslimali kupitia air strip? Tunahitaji Tz Genz ili kutia akili hawa chawa ngurumembe wajielewe
Ndio huyo huyo ,Tanzania ya Samia inazidi kung'aa na kufunguka kama unavyoona
 
Kile kimejengwa Kijijini hakuna Abiria kule na sio Makao Makuu ya Mkoa na Wala hakuna ishu yeyote specific ya kiuchumi inayohitaji uwanja.

Mbaya zaidi ni uwanja mkubwa kuliko mahitaji,so nongwa lazima Kwa sababu ni matumizi mabaya ya pesa za walipakodi.
Ahahahahaha! Kwanini KIA wataalamu wa masuala ya viwanja vya ndege wanaiita "Kilimanjaro International White Elephant Airport? Ahahahahaha!!
 
Mkoa wa Geita kuna Airport Geita na Airport Chato, hii ya pili hii inapatikana Kijiji cha Chato nyumbani kwa dikteta (kwa sasa inatumika kukaushia nafaka).
Mkuu, kwani kwenye kiwanja hicho cha Chato ambacho kwa sasa wananchi wanaanikia nafaka wasikibadilishe matumiza na kujenga majengo mengine yenye tija kwa Taifa?
 
Back
Top Bottom