ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #181
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212
Zilizopo na zitakazokujaKwa ndege zipi
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212
Pambana upande. Ukiacha kupiga strory viniweni za mpira wa yanga na simba nawe utapanda. Pia acha kupiga domo la siasa daily ndege utapanda. Pili choma vyeti vyako vya academics ili uaassume kwamba hujasoma utapambana vizuriUlishawahi kupanda ndege? Au tuwaachie akina Mwijaku
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212
Kile kimejengwa Kijijini hakuna Abiria kule na sio Makao Makuu ya Mkoa na Wala hakuna ishu yeyote specific ya kiuchumi inayohitaji uwanja.Kinachoshangaza, licha ya viwanja vyote hivyo kujengwa, NONGWA ipo kwenye Kiwanja Cha Ndege cha Chato!!!
Ndio huyo huyo ,Tanzania ya Samia inazidi kung'aa na kufunguka kama unavyoona\Tanzania ya nani? Muuza raslimali na kuruhusu wageni kuiba raslimali kupitia air strip? Tunahitaji Tz Genz ili kutia akili hawa chawa ngurumembe wajielewe
Ahahahahaha! Kwanini KIA wataalamu wa masuala ya viwanja vya ndege wanaiita "Kilimanjaro International White Elephant Airport? Ahahahahaha!!Kile kimejengwa Kijijini hakuna Abiria kule na sio Makao Makuu ya Mkoa na Wala hakuna ishu yeyote specific ya kiuchumi inayohitaji uwanja.
Mbaya zaidi ni uwanja mkubwa kuliko mahitaji,so nongwa lazima Kwa sababu ni matumizi mabaya ya pesa za walipakodi.
Akina nani hao? Wacha hearsayAhahahahaha! Kwanini KIA wataalamu wa masuala ya viwanja vya ndege wanaiita "Kilimanjaro International White Elephant Airport? Ahahahahaha!!
Mkuu kwa nini walogweMpitimbi International Airport, mmerogwa?
Mkuu, kwani kwenye kiwanja hicho cha Chato ambacho kwa sasa wananchi wanaanikia nafaka wasikibadilishe matumiza na kujenga majengo mengine yenye tija kwa Taifa?Mkoa wa Geita kuna Airport Geita na Airport Chato, hii ya pili hii inapatikana Kijiji cha Chato nyumbani kwa dikteta (kwa sasa inatumika kukaushia nafaka).
Si vingekuwa vimemalizika awamu zao,mbona vimemalizika awamu ya Samia?Chato...Magufuli
Arusha kilipanuliwa tangu mwaka juzi.
Mpanda...Pinda
Songwe...Kikwete
We acha we! Kila jambo mpaka wakati wake ufike. Hata wewe umeanza kufanya mapenzi baada ya kuvunja ungo! Ni mfano tu unielewe usichukie.Si vingekuwa vimemalizika awamu zao,mbona vimemalizika awamu ya Samia?
Ahahahahaha!Akina nani hao? Wacha hearsay
Wakati wake ndio huu wa Samia Sasa kama unavyoona hapa 👇We acha we! Kila jambo mpaka wakati wake ufike. Hata wewe umeanza kufanya mapenzi baada ya kuvunja ungo! Ni mfano tu unielewe usichukie.