Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Tanga imeangushwa tu ni uwanja wa zamani ilikua huhitaji kuenda Dar ukitaka kusafiri kwenda majuu, East Africa Airways inakupitia hapa Tanga unaenda kuunganishia Nairobi,
Serikali haiwezi kujenga Tanga wala hawana mapango wa huo mkoa miaka yote, leo uwanja wa Tnga eti jiji unazidiwa hata na wa songea, Tabora , kigoma
 
Mwanza airport mkataba wamesaini mwezi sasa hakuna kinachofanyika site utapeli mtupu wa Mzawa co ltd,TAA na NSSF nao wameingia mitini
 
Mwanza airport mkataba wamesaini mwezi sasa hakuna kinachofanyika site utapeli mtupu wa Mzawa co ltd,TAA na NSSF nao wameingia mitini
Uliwahi ona wapi wakisaini mkataba kazi inaanza mda huo huo?

Kuna miezi 3 ya mobilisation Kwa mujibu wa mkataba
 
Serikali haiwezi kujenga Tanga wala hawana mapango wa huo mkoa miaka yote, leo uwanja wa Tnga eti jiji unazidiwa hata na wa songea, Tabora , kigoma
Sio kweli Kuna mradi hapo wa Upanuzi na ukarabati wa uwanja wa ndege Tanga
 
Arusha hatuna airport. Tuna airstrip. Labda watafute eneo huko monduli wajenge kipya ila hiki hapa kisongo ni uongo. Eneo dogo sana kuwa airport.
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Hakika Samia anastahili Tuzo sio Kwa utitiri huu wa miradi ya Viwanja vya ndege inayoendelea Tanzania nzima.

View: https://www.instagram.com/p/C7vv6F4PBfC/?igsh=cTdjNmR6b2E4MWhw
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212


View: https://www.instagram.com/p/C7wiF3-i8Bb/?igsh=bjdueWlkemQxdTY2
 
Jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza tunaambiwa linajengwa ili liwe la kimataifa na kampuni ya Taifa Mzawa mining imeishia kuwa ngojera tangu kusaini mkataba kwa vishindo
 
Kujanga Iringa airport na Ruaha ni upotevu wa hela tu, tungeamua kufanya kimoja cha iringa. Huko ruaha wanataka wawe wanaiba nini?

Serikali ijitahidi sasa kuvutia wawekezaji kwenye sekta ya usafiri wa anga, maana tunaenda kuwa na viwanja bora. Ila kutegemea ATCL viwanja vitakuwa magofu na hizi kuwa project mufilisi kabisa.
 
Kujanga Iringa airport na Ruaha ni upotevu wa hela tu, tungeamua kufanya kimoja cha iringa. Huko ruaha wanataka wawe wanaiba nini?

Serikali ijitahidi sasa kuvutia wawekezaji kwenye sekta ya usafiri wa anga, maana tunaenda kuwa na viwanja bora. Ila kutegemea ATCL viwanja vitakuwa magofu na hizi kuwa project mufilisi kabisa.
Viwanja vya ndege vya ndani ya Hifadhi Huwa ni vidogo,havichukuo ndege kubwa
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Sisi Chadena na CCM wapinzaji wa jiwe tulisema haya ni maendeleo ya city hayana maana,ni upotevu wa fedha za uma.Wananchi wanahitaji madarasa,,shule maji..Mambo ya viwanja vya ndege kuke gwa Moshi,Arusha,,sijui iringa ni ushamba wa magufuri.Au ni mesema uwongo jamani?
 
Back
Top Bottom