Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Mkuu umeusahu ule uwanja wa mkubwaa wa kimataifa unao endelea kujengwa kule katikati ya nchi
 
Jadili hoja
View: https://www.instagram.com/p/DFuW3_loox9/?igsh=MWd4bW8wcmQ4ZXA2cA==
 

Ni ujinga kuwekeza kwenye usafiri wa anga locally. Sidhani kama kuna zaidi ya Watanzania hata 4 million wanameshapanda ndege Tanzania. Hiyo pesa bora wangewekeza kwenye barabara au kilimo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…