Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Serikali haiwezi kujenga Tanga wala hawana mapango wa huo mkoa miaka yote, leo uwanja wa Tnga eti jiji unazidiwa hata na wa songea, Tabora , kigomaTanga imeangushwa tu ni uwanja wa zamani ilikua huhitaji kuenda Dar ukitaka kusafiri kwenda majuu, East Africa Airways inakupitia hapa Tanga unaenda kuunganishia Nairobi,
Uliwahi ona wapi wakisaini mkataba kazi inaanza mda huo huo?Mwanza airport mkataba wamesaini mwezi sasa hakuna kinachofanyika site utapeli mtupu wa Mzawa co ltd,TAA na NSSF nao wameingia mitini
Sio kweli Kuna mradi hapo wa Upanuzi na ukarabati wa uwanja wa ndege TangaSerikali haiwezi kujenga Tanga wala hawana mapango wa huo mkoa miaka yote, leo uwanja wa Tnga eti jiji unazidiwa hata na wa songea, Tabora , kigoma
Hakuna airport hapo
Ila Kuna nini?Hakuna airport hapo
Hakika Samia anastahili Tuzo sio Kwa utitiri huu wa miradi ya Viwanja vya ndege inayoendelea Tanzania nzima.Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji ππ
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19View attachment 2931212
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji ππ
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19View attachment 2931212
kazi gani Reli SGR aliyoiacha magu inamdodea bana.
Viwanja vya ndege vya ndani ya Hifadhi Huwa ni vidogo,havichukuo ndege kubwaKujanga Iringa airport na Ruaha ni upotevu wa hela tu, tungeamua kufanya kimoja cha iringa. Huko ruaha wanataka wawe wanaiba nini?
Serikali ijitahidi sasa kuvutia wawekezaji kwenye sekta ya usafiri wa anga, maana tunaenda kuwa na viwanja bora. Ila kutegemea ATCL viwanja vitakuwa magofu na hizi kuwa project mufilisi kabisa.
Sisi Chadena na CCM wapinzaji wa jiwe tulisema haya ni maendeleo ya city hayana maana,ni upotevu wa fedha za uma.Wananchi wanahitaji madarasa,,shule maji..Mambo ya viwanja vya ndege kuke gwa Moshi,Arusha,,sijui iringa ni ushamba wa magufuri.Au ni mesema uwongo jamani?Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.
Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji ππ
- Msalato International Airport-Dodoma
- Arusha Airport
- Moshi Airport
- Mwanza Airport
- Shinyanga Airport
- Sumbawanga Airport
- Musoma Airport
- Mpanda Airport
- Mtwara Airport
- Kigoma Airport
- Iringa Airport
- Tanga Airport
- Mtemere Airport -Nyerere National park
- Kikoboga Airport Mikumi NP
- Ruaha NP Airport(2 Airports)
- Kahama Airport
Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504
My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19View attachment 2931212
Samia anafanya yote , maendeleo ya vitu na maendeleo ya jamii.ππSisi Chadena na CCM wapinzaji wa jiwe tulisema haya ni maendeleo ya city hayana maana,ni upotevu wa fedha za uma.Wananchi wanahitaji madarasa,,shule maji..Mambo ya viwanja vya ndege kuke gwa Moshi,Arusha,,sijui iringa ni ushamba wa magufuri.Au ni mesema uwongo jamani?