Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Watakuwa wanaleta mzaha, sheng anakufaje kirahisi
Kwanza jina lake lenyewe sheng yaani kwa kiswahili shenzi [emoji16]
Sheng itakuwa hajafa ila nina wasiwasi na Shao ndio maana mleta taarifa alikuja kwenye ofisi ya Sheng anahema sana
Steve atategua hiki soon tuvute subra
 
Sheng ni rejendary wa Anga, hawa waingereza hawaujui mziki wke !!
 
Hivi unaelewa kinachoendelea hapa?
Kweli mimi sielewi hiki kinachoendelea ila kwa mtazamo wangu Miranda atajiunga na Jona hivyo BC atajikuta mwenye wakati mgumu kuwahi kumtokea[emoji30] [emoji30] [emoji30] hayo ndo maono yangu ila cyapi aslimia nyingi
 
Hivi sheng atakuwa kafa kweli mbona kirahisi hivyo na jona jaman Mungu azidi kumlinda tu
Jona cna wasisi nae maana naamini Miranda hawezi kumuacha mwenyewe watalindana, ila sheing inawezekana lakini huruma zangu zinaenda kwa mzungu BC naona ule usemi walisema unaweza kumtoa nyoka kisimani asife na maji halafu akakuuma na ukafa wewe kwa sumu yake, sasa BC kajitahidi jona apone ila atakuja kumuua mwenyewe tena wakisaidiana na Miranda [emoji12] [emoji12] kitu kinakuwa [emoji621] [emoji621] [emoji621] [emoji621] [emoji621]
 
Watakuwa wanaleta mzaha, sheng anakufaje kirahisi
Kwanza jina lake lenyewe sheng yaani kwa kiswahili shenzi [emoji16]
Yule bwana anaweza kufa kirahisi kwasababu moja tuu ,, anajiamini Saaana hiyo ni shida katika vita
 
Ila pamoja na yote Bc amemsaidia sana jona.....vinginevyo angekufa zamani kama isingekua miranda..... kwa akili za kazi jona lazima apewe anachostahili maana kashakua Trash
 
Ila pamoja na yote Bc amemsaidia sana jona.....vinginevyo angekufa zamani kama isingekua miranda..... kwa akili za kazi jona lazima apewe anachostahili maana kashakua Trash
Mwenye kujua thamani ya Jona ni Miranda, hivyo BC ameshiriki kidogo japo kwa umuhimu, tatizo ndugu yetu Jona hayupo tayari kutenda dhambi ya kumtukuza muhalifu kisa tu eti kaokoa maisha yake [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapa ndo ananimaliza ila kwakuwa Miranda anamjua BC na naamini hawezi muua Jona basi BC kazi anayo tangu sasa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…