Bahati mbaya matusi siwezi lakini nina tumai ujube kaupataNakupa bonasi muongeze matus mengine uyo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji125] [emoji125]Unacho kitafuta BC kwa Jonna utakipata soon...
Ila jona naye hio Loyality yake hata mm ningekua Bc ningempoteza [emoji23]Mwenye kujua thamani ya Jona ni Miranda, hivyo BC ameshiriki kidogo japo kwa umuhimu, tatizo ndugu yetu Jona hayupo tayari kutenda dhambi ya kumtukuza muhalifu kisa tu eti kaokoa maisha yake [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapa ndo ananimaliza ila kwakuwa Miranda anamjua BC na naamini hawezi muua Jona basi BC kazi anayo tangu sasa
Há há há há aaa si mpaka uweze sasa Jona jiwe lile, sasa ndo wamepewa ujumbe ulowekwa kwenye kichwa cha mwenza ujumbe unasemaje atatuambia Steve baadae[emoji1] [emoji1] Raha sanaIla jona naye hio Loyality yake hata mm ningekua Bc ningempoteza [emoji23]
Sasa star atakufaje[emoji23] mkuu....hio ndio character yake...Há há há há aaa si mpaka uweze sasa Jona jiwe lile, sasa ndo wamepewa ujumbe ulowekwa kwenye kichwa cha mwenza ujumbe unasemaje atatuambia Steve baadae[emoji1] [emoji1] Raha sana
Daaa...yaani wee jamaa sijui kwa nn nimehisi wee ni mzee wa fix na theories za uwongo balaa! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana huu sio moto wa mkaa wala jiko la mchana
Huu moto ni gesi pure toka songosongo
Hatari sana mzee
[emoji23] [emoji23] [emoji28]Daaa...yaani wee jamaa sijui kwa nn nimehisi wee ni mzee wa fix na theories za uwongo balaa! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kabisaIla jona naye hio Loyality yake hata mm ningekua Bc ningempoteza [emoji23]
Hope nitakuwa wa kwanza kuisomaNasema hivi, baadae kama kawaida. Majira yetu yaliyotulia, mbali na kurupushani za dunia ili tukisoma vitu kama hivi viingie mpaka kuukuna moyo.
Mambo yamechachamaa. Na hapa ndipo mbivu na mbichi zitakapokaa ng'ambo kwa ng'ambo.
Nikikosaga cha kuandika hua napita tuu mkuuNasema hivi, baadae kama kawaida. Majira yetu yaliyotulia, mbali na kurupushani za dunia ili tukisoma vitu kama hivi viingie mpaka kuukuna moyo.
Mambo yamechachamaa. Na hapa ndipo mbivu na mbichi zitakapokaa ng'ambo kwa ng'ambo.
Kwa taarifa yako hakuna aliewahi nitangulia kuisoma hii kitu mkuuHope nitakuwa wa kwanza kuisoma
[emoji120] [emoji120] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Nasema hivi, baadae kama kawaida. Majira yetu yaliyotulia, mbali na kurupushani za dunia ili tukisoma vitu kama hivi viingie mpaka kuukuna moyo.
Mambo yamechachamaa. Na hapa ndipo mbivu na mbichi zitakapokaa ng'ambo kwa ng'ambo.
Tutaona !Kwa taarifa yako hakuna aliewahi nitangulia kuisoma hii kitu mkuu
Hope nitakuwa wa kwanza kuisoma
Kwa taarifa yako hakuna aliewahi nitangulia kuisoma hii kitu mkuu
kama nawaona mnavyochungulia kila dakika[emoji23][emoji23]Tutaona !
Tupooo hapa[emoji144]kama nawaona mnavyochungulia kila dakika[emoji23][emoji23]