Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
We kijana utaniua kwa presha, nikisikia mtetemo wa simu yangu nafungua mbio mbio[emoji15] [emoji15] hafu nakuta ni wewe


Cha kushangaza post yako hafu nakutangulia kuiona[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Vipi kwa post ya tivu[emoji15] [emoji23] ??
 
We kijana utaniua kwa presha, nikisikia mtetemo wa simu yangu nafungua mbio mbio[emoji15] [emoji15] hafu nakuta ni wewe


Cha kushangaza post yako hafu nakutangulia kuiona[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Vipi kwa post ya tivu[emoji15] [emoji23] ??
nimewatangulia tayari[emoji3][emoji3]
 
Hellow. Samahanini kwani sitaweza kutuma simulizi majira haya kutokana na hali ya dharura.
Samahani kwa usumbufu wowote utakaojitokeza na uliojitokeza.
Daah haya stiv pole kwa dharura hiyo,,haya wengine tulale sasa maana hakuna cha anga la washenzi wala wastaarabu
 
Hellow. Samahanini kwani sitaweza kutuma simulizi majira haya kutokana na hali ya dharura.
Samahani kwa usumbufu wowote utakaojitokeza na uliojitokeza.
Even if we are saddened
We still do appreciate bro
Now and then we stilll cling on tightly
 
Hellow. Samahanini kwani sitaweza kutuma simulizi majira haya kutokana na hali ya dharura.
Samahani kwa usumbufu wowote utakaojitokeza na uliojitokeza.
Pole mkuu, nitaamka baadae kuchungulia
 
Vita vya Wanaume Patamu apo [emoji91] [emoji91] ,,,, japo nimemmis Chalii ya Ar nyoka karate master bingwa wa machale,,,ulazwe unapostaili ,,Umenikumbusha miles mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…