Lameck Masanja
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 153
- 238
uje sasa Steve ashakujaZmefika ila Steve bado hajaja
[emoji3][emoji3][emoji3]Unaendeleaje
Acha ule mtutu ulomwelekea bwn sheng usoni la hasha ni pale alipopandisha upeo wake usawa wa alieishika ile bunduki loh jona marehem mtarajiwa,bwn sheng akataka kutia neno ila kabla akaona kidole kikisogea kwenye ile silaha ilomwelekea hakutia neno tena.....
Naomba na me unitumie haswa hizo za kwa avatar yakoMkuu, kama unatatizo la Bando sema, maana stori imefikia patamu, halafu umetuacha hewani, mi nipo tayari kukutumi vocha
Tuma namba yako PMNaomba na me unitumie haswa hizo za kwa avatar yako
Upate muda kwa kweliNashukuruni kwa kuwa pamoja nami. Leo nikipata wasaa ntaandika tena na kutuma. Itakuwa si mchezo maana hapatakucha wala kupambazuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuma namba yako PM
Unacheka nini sasa? Si unataka $$$$$[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikutania banaUnacheka nini sasa? Si unataka $$$$$