[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] sidhan km unafikiria kufuta coz moto was Leo ni wa kuotea mbaliJaman ndugu zangu ili kuonesha msimamo wangu nimeamua kufuta app ya jamii forum mpaka tarehe Tisa mwez wa tatu ndo ntarud ila namlaumu Steve kwa kukwepesha gemu ili niondoke humu ila ntaondoka baada ya kipande cha Leo
Acha hizo mambo tunakutania tuJaman ndugu zangu ili kuonesha msimamo wangu nimeamua kufuta app ya jamii forum mpaka tarehe Tisa mwez wa tatu ndo ntarud ila namlaumu Steve kwa kukwepesha gemu ili niondoke humu ila ntaondoka baada ya kipande cha Leo
Daaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] sidhan km unafikiria kufuta coz moto was Leo ni wa kuotea mbali
Ila ahadi ni deniAcha hizo mambo tunakutania tu
Ita vzr mke mweee ili awahi kujaTivuuuu ukuje
Tivuuuu ukuje jaman shunie nimekumiss tu mimiIta vzr mke mweee ili awahi kuja
EwaaaaTivuuuu ukuje jaman shunie nimekumiss tu mimi
Kino kawa kinondoniKINO KINOOOO.. Mpuuzi sana
Naona stive naye ana moyo kama wa jona,mimi ningeshakujaTivuuuu ukuje jaman shunie nimekumiss tu mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona stive naye ana moyo kama wa jona,mimi ningeshakuja
Tuwekeane pesa ilitujuie na kafa Kati ya sasha au kinoo