Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu mimi hako ka Profile Picha kake ndo kananipa Mzuka wa kutembelea huu uzi akikitoa naamini kabisa siku nikija huku ntakuta steve keshaweka Episode zote mpaka ya mwishoNikuombe kitu bibi Shunie? Kitoe hichi kiprofili picha chako maana kinanivurugaga sana akili.
Mkuu nimecheeeeka vibaya Sana duh [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Asante kwa kunisaidia kufikisha ujumbe ila mimi ni tofauti na wewe, ulishaona mtu anapigwa na kitu chake? Huyu Chaliangu naweza kbs kumpiga kwa simulizi yake, amenifanya teja halafu ananiacha na arosto. Yani nammnaindi kinyama.
Inaua kabisaaaArosto mbaya[emoji39] [emoji39]
Pole hatuna budi kujkazaInaua kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mkuu mimi hako ka Profile Picha kake ndo kananipa Mzuka wa kutembelea huu uzi akikitoa naamini kabisa siku nikija huku ntakuta steve keshaweka Episode zote mpaka ya mwisho
Hivi mbona sipati notification yoyote karibia wiki ya pili sasa,hili tatizo liko kwangu tu nini jaman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kulikua na tatizo juzi kati la kutopata notification lakini zimerudi update app yakoHivi mbona sipati notification yoyote karibia wiki ya pili sasa,hili tatizo liko kwangu tu nini jaman
Ahsante mpenziKulikua na tatizo juzi kati la kutopata notification lakini zimerudi update app yako
Ukimwita hivyo napata kawivu flani hv.....sijui kwa nini inatokea hiviAhsante mpenzi
Wivu huo unapataje jaman kwa moneytalk au kwa shunieUkimwita hivyo napata kawivu flani hv.....sijui kwa nini inatokea hivi
Kwa ShunieWivu huo unapataje jaman kwa moneytalk au kwa shunie
Hata mimi lilinipata ila kwa sasa tatizo hilo limekwishaHivi mbona sipati notification yoyote karibia wiki ya pili sasa,hili tatizo liko kwangu tu nini jaman
Kaenda KUPIGA KURAWapi mkuu SteveMollel