koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Hata huruma huna basi nitaitika maana sina jinsi.[emoji3] [emoji3] [emoji3] inyooshe tu shingo uitkie vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huruma huna basi nitaitika maana sina jinsi.[emoji3] [emoji3] [emoji3] inyooshe tu shingo uitkie vizuri
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Hata huruma huna basi nitaitika maana sina jinsi.
haaah acheni kumtisha jamani mbona me najulikanaHahahaa aende akakutane na wasiojulikana?
mh inawezekana vp hii, uliwafanya nini hao modsSi unajuaga vile inbobo situmii mods wameondoka nayo jaman
Namm nakuomba pmHahahaaaa
Mm naipenda hii yako ya sasa.Ile avatar mnaipendea nini nyie wanaume
Mmmh unataka tuvurugane sasa.Namm nakuomba pm
Ndo wapiNamm nakuomba pm
Jona kanitekaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] nakuona mpendwa wa binamu
Afu kavaa chupi na sidiria[emoji4] [emoji4] [emoji4]ITAPENDEZA KAMA UKIIRUDISHA ILE AVATAR BINTI KASHIKILIA KINYWAJI MKONONI HALAFU KAKAA KWENYE KITI.
sureSteve mdogo wangu, hiki unachokifanya kinakujengea heshima kubwa sana na kinakuweka katika kevels za juu sana? Hongera sana.. Kwa kweli unaweza na kipaji unacho. Kitendo cha kuahidi muda flan utatupia mzigo na kweli unatupia...!!!! We we in Khabari nyingine kabisa.. Tupo tunaofuatilia kimya2 wengi tu... Usibadilike ukawa kama watunzi wengine wababaishaji, nisiseme sana.. Keep it up..
mmmh mmmh mmmh.Afu kavaa chupi na sidiria[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Ili uwe unaizoom then unaipigia puchu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mmmh mmmh mmmh.
Siku wasichana wakiisha mtaani kwangu, ndio nitafanya upuuzi kama huo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Jona kanitekaaa
Siandiki kwa mazoea. Kwangu hamna na itakuwa hivyo mpaka mwisho. Mimi si mtunzi wa machombezo. Na nakuhakikishia itakuwa nzuri.Huyu bwana Jona hana mdigido naona story nzima hata kusema achangamshe akili kwa kidigika tu hakuna stoy za ujasusi bila mahaba na kudigidana haziendi vizuri