Bonge la riwayaMh ngoja niendelee n a bondia ya Husein Tuwa maana Nina hard copy
We chalii si utunge kabisa kitabu tununue?Leo ni leo haswa!
Ngoja nijipoze na hadithi za Allan Quatermain. Nina hard copyMh ngoja niendelee n a bondia ya Husein Tuwa maana Nina hard copy
Babu na mjukuu nlunawezanisaidia nami nikapata copy moja, natagiluta sana hicho kitabu?!!Ngoja nijipoze na hadithi za Allan Quatermain. Nina hard copy
Babu na mjukuu unaweza nisaida nami nikapata copy moja, natakitafuta sana hicho kitabu?!!
Sanaaaa napenda kutafuniwaMkuu unapenda sana starehe wewe
Vipo kwa wingi kwa sasa kwa wauza vitabu. Kama uko Dar ni rahisi zaidi.Babu na mjukuu nlunawezanisaidia nami nikapata copy moja, natagiluta sana hicho kitabu?!!
Nipo mkoani..unaweza nipa namba ya muuzaji kama unayo? Na wanaviuza kiasi gani, asante sana kwa ushirikiano.Vipo kwa wingi kwa sasa kwa wauza vitabu. Kama uko Dar ni rahisi zaidi.
Mi nilikinunua pale Ubungo kituo kikuu cha mabasi.
Sina namba ya muuzaji. Bei imeandikwa 10000. Lakini mazungumzo yapo. Mi niliuziwa kwa elfu 5Nipo mkoani..unaweza nipa namba ya muuzaji kama unayo? Na wanaviuza kiasi gani, asante sana kwa ushirikiano.