Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Nimetuma tatu kwakuwa leo ndo tunaanza msimu wa pili ila ratiba ni mbili mbili tu. Na ntakuja kila baada ya siku moja.


Pamoja wakuu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Haya anyway no way ila ilipoishia saasa loh!!!

Lakini marwa na wewe kwanini ulitelezaaa?![emoji134]
 
Ila ujue unanifatilia sana
Hata sikufuatiliii saaaaana kama kipindikile ulipokuwa na kale picha kengine.

Sasa hivi nakutana na wewe tu kwa bahati mbaya.

Jina nalikumbuka lakini hicho ki avart chako sasa.

Rudisha kale kengine uone kama sitakuwa kama mkia...[emoji12] [emoji12] [emoji12]

Avart gani hiyooo......
 
Oooh kumbe basi avatar huwa naweka nipendazo huwa siweki kwa ajili ya kumfurahisha yeyote
 
Oooh kumbe basi avatar huwa naweka nipendazo huwa siweki kwa ajili ya kumfurahisha yeyote
Haya endelea

Avart kama nguo

Ukiipenda wenzio wasipoipenda utakuwa mtu wa maajabu duniani
Raha ya nguo uvae usifie kama mwanamke, sawa na avart weka usifiwe.
Sio unaweka li avart utazani mcheza movie za kutisha kama za aptokaliputo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Una niniii na mm ebu nikuulize ninafanya biashara mpaka nisifiwe ebu endelea na mambo zako usiniquote kwa mambo za kijinga avatar avatar ndio nini nikiipenda mwenyewe inatosha ipende avatar yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…