Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu dada katutia aibu sana sisi team sultan sayeed said..
Tunamuomba kaka Joo kusaga ampeleke kwenye kipind Cha Leo Tena.
 
Muandishi sukari iko juu, sasa anamsusia nani??
Huyo Lissu sio level yake, yeye angewahoji kina konde..!! Sema clouds wanaokoteza sana watangazaji ndiomana hata bashite aliwavamia na mitutu 🤣
 
Jinga kweli. Aibu zingine ni kujilazimishia tu.
 
Hawa Clouds wasirudie tena kujiaibisha kumuweka huyu dada kwenye interviews kama hizi. Walau yule PJ na bonge kwa mbali. Wameaibisha sana taasisi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…