figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Wanaokomeshwa siyo Chadema peke yao bali ni Watanganyika wote ambao kodi zao zinafujwa hivi.Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
View attachment 3202707
Inasikitisha sana yaani mtu amevaa buti anakukanyaga wewe uliyevaa kandambili na huku unamkenulia.Ni pale anayeibiwa anashangalia matumizi ya Majambazi wanaotumia Pesa zake...
Mleta mada, watakoma chadema?Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Na zile chopa za Mbowe je?Wanaokomeshwa siyo Chadema peke yao bali ni Watanganyika wote ambao kodi zao zinafujwa hivi.
Ndiyo upeo wa akili yake na maccm wote wako hivyo.Mleta mada, watakoma chadema?
Hayo ni matumizi mabaya ya akiliNi pale anayeibiwa anashangalia matumizi ya Majambazi wanaotumia Pesa zake...
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaHayo ni matumizi mabaya ya akili
Bora umemwambia ukweli huyo MBURUMUNDUWanaokomeshwa siyo Chadema peke yao bali ni Watanganyika wote ambao kodi zao zinafujwa hivi.
Hizo fujo zote lakini wapo kama nyumbu maana hadi imebaki siku tatu wajumbe wa mikutano yote ya tarehe 18 na 19 (Kamati Kuu, Halmashauri kuu na Mkutano Mkuu) hawamjui hata kwa jina mtu wanayeenda kumpamba maua ili awe Mwenyekiti wa CCM wa Tanganyika pendwa (a.k.a makamu Mwenyekiti wa CCM bara).Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Inasikitisha sana hii...pesa za kununua mwendo kasi wananchi wapunguze kero za usafiri hazipo lakini pesa za kununua mayutong na ma scania ya kulia bata zipo....what a cursed nation.Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Komba alikua mtunzi sana,Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
sio fujo gentleman,Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Shithole countriesKuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA