Angalia fujo za CCM barabarani. CHADEMA mtakoma Mwaka huu

Angalia fujo za CCM barabarani. CHADEMA mtakoma Mwaka huu

Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.

Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.

Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.

Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?

Tunasubiri Makali ya UKAWA.

SAMIA 3 - UKAWA
Somba somba luxury coach
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.

Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.

Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.

Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?

Tunasubiri Makali ya UKAWA.

SAMIA 3 - UKAWA
Nina uhakika wewe kama sio ccm,basi utakuwa ni mtu wa hovyo kuwahi kusoma maandishi yake kwa mwaka huu 2025

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.

Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.

Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.

Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?

Tunasubiri Makali ya UKAWA.

SAMIA 3 - UKAWA

Siasa za chama dola kongwe CCM na serikali yake ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi wa Tanzania
 
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM ,mkifika Dodoma, mjue mafuta haya yamefika Dodoma
 

Attachments

  • 5929966-5358adcd11ca564ef6ab279deb233ae9 (1).mp4
    14 MB
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.

Walianza na Baiskeli, wakaja Pikipiki sasa ni Magari.

Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.

Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?

Tunasubiri Makali ya UKAWA.

SAMIA 3 -0 UKAWA
Cdm ni chama cha siasa sio chama cha wauza unga wala wagawa raslimali za umma. Cdm tunawaona kwenye midahalo wakiuza sera zao na kushindana kisiasa. Chama cha wauza unga wao wananunua vitu, wanajaza wasanii kwenye mikutano yao, hakuna popote wanaonekana kwenye midahalo. Wao wanasubiri vyombo vya dola na tume isiyohuru ya uchaguzi iwape ushiñdi wa bwerere.
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka!

Naona ametoka nje ya Tunguu kule kuukabili ulimwengu kama zamani!

Nasubiri kuona!hata chato alitoka pangoni chato akaibukia moro ndio ivo!
 
Lissu akishinda anavyojua kujenga hoja atayaponda hayo magari yaonekane TAKATAKA kabisa, na wote wanaoyapanda!
Twende na Lissu kudadek.
 
Back
Top Bottom