Somba somba luxury coachKuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Wakikujibu tutag mkuuNa zile chopa za Mbowe je?
siasa ni sayansi na mipango sio mihemko ,wivu na makasirikoMali za walipakodi hizonsema wajinga wamelala fofofoo......
Nina uhakika wewe kama sio ccm,basi utakuwa ni mtu wa hovyo kuwahi kusoma maandishi yake kwa mwaka huu 2025Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Bais, wakata Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 - UKAWA
Hizo ni kodi zetu ww kilazaKuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Baiskeli, wakaja Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 -0 UKAWA
Cdm ni chama cha siasa sio chama cha wauza unga wala wagawa raslimali za umma. Cdm tunawaona kwenye midahalo wakiuza sera zao na kushindana kisiasa. Chama cha wauza unga wao wananunua vitu, wanajaza wasanii kwenye mikutano yao, hakuna popote wanaonekana kwenye midahalo. Wao wanasubiri vyombo vya dola na tume isiyohuru ya uchaguzi iwape ushiñdi wa bwerere.Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Baiskeli, wakaja Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 -0 UKAWA
Hii ni TanzaniaInasikitisha sana yaani mtu amevaa buti anakukanyaga wewe uliyevaa kandambili na huku unamkenulia.
BalaaWanalaana