Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Wale wapenda mbio ukishanunua gari yako ya high performance karibu Arusha.
Kuna barabara nzuri sana za kujimwambafai.
Kuna barabara ya Arusha Babati au Arusha Namanga.
Yaani wewe tu.
Angalia hapa Altezza inavyonyanyaswa na Subaru pamoja na Glanza. [emoji116][emoji116]
Note***high speed kills..[emoji1][emoji119][emoji119][emoji1]
Kuna barabara nzuri sana za kujimwambafai.
Kuna barabara ya Arusha Babati au Arusha Namanga.
Yaani wewe tu.
Angalia hapa Altezza inavyonyanyaswa na Subaru pamoja na Glanza. [emoji116][emoji116]
Note***high speed kills..[emoji1][emoji119][emoji119][emoji1]