Sicolate
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 243
- 342
HAPANAWatumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPANAWatumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Asante nimehakiki unafanya kaziWakuu nimewaletea link muingie ili mjue kama upo kwenye mfumo wa NEC ujue kituo chako.
Angalia
https://vis.nec.go.tz
Tukapige kura October 28 bila kukosa.
Haki itatamalaki
Amani tuitangulize mbele.
Juzi nilikuwa naangalia kwenye kituo nilichopo kuna majina (na picha zao) yalibandikwa ya wakazi wenye vitambulisho vya kupigia kura. Majina hayazidi 300 lakini marehemu ni 27!!!Tuko m59, tume inasema wamejiandikisha m29, maana yake nusu ya watanzania wamejiandikisha, hakuna waliokufa? There's rat smell here.
Ukinisoma tena, mara moja utagundua ulichoandika ndicho nilichoandika in other way round, kwamba ikitambulika itahesabiwa kwa aliyekusudiwa... yaani kwa aliyepigiwa badala ya kuhamishiwa kwa asiyekusudiwa; yaani huyo uliyemwita boss wao!Tatizo pia sio kutambulika na nec, nec wanaweza wakakutambua bt kura yako wakaibadilisha matumiz ya either imeharibika au wakai transfer kwa boss wao.
hii kitu ilinijia akilini. Tutaenda kuhakiki vituoni tulipojiandikisha.Unataka kutu-hack namba zetu za vichinjio?
Mkuu aksante sana nimecheki, nimeona accurate information.Wakuu nimewaletea link muingie ili mjue kama upo kwenye mfumo wa NEC ujue kituo chako.
Angalia
https://vis.nec.go.tz
Tukapige kura October 28 bila kukosa.
Haki itatamalaki
Amani tuitangulize mbele.
Upuuzi mtu watu wanawapitisha bila kupingwa tuangalie nini na tukamchague nani?Wakuu nimewaletea link muingie ili mjue kama upo kwenye mfumo wa NEC ujue kituo chako.
Angalia
https://vis.nec.go.tz
Tukapige kura October 28 bila kukosa.
Haki itatamalaki
Amani tuitangulize mbele.
hata mimi nina hasira sana! acha tumcinjie kwenye sanduku la kura ili Amsterdam &co. watafute ajenda nyingine!Mkuu, asante! Nimejiona aisee, ninahasira na mtu aliyetutishia tutashitakiwa MIGA, yaani tuogope kutetea vyetu kisa tutashitakiwa?
Halafu anakuja kuomba awe kiongozi wetu? Yaani tuchague kuwa na Baba muoga?
Mambo mengine buana!!!
Mkuu, kuwa muwazi, ni nini hasa unahitaji!?Hapo mnapoteza muda tu, zaidi ya nusu hawa exist na tarehe 28 October wote watapiga kura. Watampigia nani..!??, Sina uhakika.
We endelea kukubali kiainaTunajua tulipo jiandikishia
Ndio maana unatakiwa kwenda kuhakiki jina lako siku 7 kabla ya uchaguzi. Daftari litaweklwa wazi katika kituo ulichojiandikishia.Huo ni mpango wa kuwazubaisha na kuwapotosha wananchi,utaangalia hapo na kujiona upo wapi siku unafika unaambiwa jina lako halipo kwenye karatasi. Tume bana wnatia sahihi kama sisi wadanganyika.
Mugabe alikuwa anajifanya jasiri na mzalendo hadi akawapora wazungu ardhi na kuwapa wazalendo uchwara wa Zimbabwe. Uchumi ukasambaratika vibaya sana, hatimaye jana serikali ya Zimbabwe imetangaza kuwarudishia wazungu mashamba yao. Mzungu hakwepeki kwa kuwa na kiongozi mwenye kiburi.
kosa lilikiwa la mugabe au aliowapa mashamba!!!
Ukimpora mtu mali yake kisha uliyempa unaona hafanyi sawa, unatakiwa umnyang'anye. Mbona sasa hivi wameanza kuwarudishia wazungu hayo mashamba?
kwamba mashamba ni mali ya wazungu[emoji4][emoji4].
unajua tunachotofautia sisi mnaotuita mataga na nyinyi ufipa ni namna ya kutizama mambo tu,hapo ndioo consept nzima ya nyinyi kuitwa vibaraka inapozaliwa.
haijalishi una nia gani,ila ukiishaonyesha ushirika na shoga,utawekwa kundi a)basha b)mpunga.