Angalia hapa kama NEC inakutambua kuwa wewe ni Mpiga Kura

Angalia hapa kama NEC inakutambua kuwa wewe ni Mpiga Kura

Hujui unaloongea kwa bahati mbaya. Ni hivi, hao wazungu ni wazawa wa huko huko Zimbabwe, ni sawa na walivyo kina Mo, Bakhressa nk hapa Tanzania. Hawa ni watanzania lakini sio wabantu, hivyo waporwe mashamba yao kisa kuna weusi wanajifanya wazalendo?

wewe ndio hujui unachoongea mzee,unanukuu mo kuwa mtz kwa kigezo cha kuzaliwa hapa bongo!!!!achana na hii hoja.

labda nikuulize,hayo mashamba mugabe amenyang'anya wazungu hao mwaka gani??maana kama miaka ya 80 wazungu wazawa nchi za kiafrica walikuwa wachache sana.
wengi walikuwa bado ni walowezi tu.

leo hii kama mambo yanaharibika yakishikwa na watu weusi,basi tunatakiwa kujikita kutatua hilo.
 
wewe ndio hujui unachoongea mzee,unanukuu mo kuwa mtz kwa kigezo cha kuzaliwa hapa bongo!!!!achana na hii hoja.

labda nikuulize,hayo mashamba mugabe amenyang'anya wazungu hao mwaka gani??maana kama miaka ya 80 wazungu wazawa nchi za kiafrica walikuwa wachache sana.
wengi walikuwa bado ni walowezi tu.

leo hii kama mambo yanaharibika yakishikwa na watu weusi,basi tunatakiwa kujikita kutatua hilo.

Nikikuambia huna ujualo si kwamba nina bahatisha. Huo mfano wa kina Mo nimekupa Ili akili yako ikae sawa. Sheria za kimataifa zinakupa uraia automatically kwenye nchi yoyote uliyozaliwa. Wengi wa wamiliki wa hayo mashamba walizaliwa huko huko Zimbabwe. Anyway, tuache hoja yako isimame kama utakavyo, kama hao wazungu walikuwa na hizo ardhi kimakosa, hivi majuzi serikali ya Zimbabwe imetangaza kuwarudishia hao wazungu ardhi walizoporwa, wanawarudishia kama akina nani? Wazalendo wa kuendesha hayo mashamba wameisha?
 
Nikikuambia huna ujualo si kwamba nina bahatisha. Huo mfano wa kina Mo nimekupa Ili akili yako ikae sawa. Sheria za kimataifa zinakupa uraia automatically kwenye nchi yoyote uliyozaliwa. Wengi wa wamiliki wa hayo mashamba walizaliwa huko huko Zimbabwe. Anyway, tuache hoja yako isimame kama utakavyo, kama hao wazungu walikuwa na hizo ardhi kimakosa, hivi majuzi serikali ya Zimbabwe imetangaza kuwarudishia hao wazungu ardhi walizoporwa, wanawarudishia kama akina nani? Wazalendo wa kuendesha hayo mashamba wameisha?

inarudiaha uwekezaji au umiliki??

nimekuuliza,miaka ya 80 ni wazungu wangapi walikuwa wazawa nchi za africa??
au mnakariri tu.
 
inarudiaha uwekezaji au umiliki??

nimekuuliza,miaka ya 80 ni wazungu wangapi walikuwa wazawa nchi za africa??
au mnakariri tu.

Bara la Afrika lilianza kutawaliwa baada ya mkutano wa Berlin 1884, mpaka kufika mwaka 1984, ilikuwa ni karne moja. Hakuna mkoloni aliyekuja Afrika akiwa chini ya miaka 20, wengi wa waliokuwa kwenye miaka ya 80 walikuwa wamezaliwa huko huko Zimbabwe. Wazungu wa Afrika kusini yaani Boers wana miaka zaidi ya 200. Je mtu ambaye babu wa babu yake alikaa mahali kwa miaka 200, huyo sio mzawa?
 
Bara la Afrika lilianza kutawaliwa baada ya mkutano wa Berlin 1884, mpaka kufika mwaka 1984, ilikuwa ni karne moja. Hakuna mkoloni aliyekuja Afrika akiwa chini ya miaka 20, wengi wa waliokuwa kwenye miaka ya 80 walikuwa wamezaliwa huko huko Zimbabwe. Wazungu wa Afrika kusini yaani Boers wana miaka zaidi ya 200. Je mtu ambaye babu wa babu yake alikaa mahali kwa miaka 200, huyo sio mzawa?

kama walikuwa wazawa dhana nzima ya ukombozi inaiua wewe leo rasmi.

mfano hai hata hapa tz,baada ya uhuru watu walipanda ndege wakaondoka zao.sasa mzawa unaondokaje kwenu??
 
Back
Top Bottom