Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikwambie kitu unaweza kupitia njia ileile ambayo mwingine hatoboi ila kwenye MAISHA Kuna BAHATI NGEKEWA E.T.Ckipimo cha akili subiri amalize chuo
kumbe kuna bahati ngekewa, hayaa sawaNikwambie kitu unaweza kupitia njia ileile ambayo mwingine hatoboi ila kwenye MAISHA Kuna BAHATI NGEKEWA E.T.C
Wanao soma wasome tu 😊🤓 kufuata kiu zao &vice versa is true 😌 🙂 😌
vip iyo Three awe ni yeye.. Unazan iyo 3 atakua nan?Mtoto wa baba angu mkubwa ambae Kwa Sasa ana miaka let say 90's
Mmoja ya watoto wake wa uzeeni NDIO amehitimu mwaka huu form 6
Kwa Sasa dogo yupo JKT nimeangalia shule ya kata mchepuko wa science alikokua akisoma matokeo ni kama ifuatavyo
Division 1@18
Division 2@29
Division 3@1
Hakuna division four Wala zero[emoji4][emoji4]
Kwa kua Sina namba yake ya mtiani na alivyo kuaga mtundu mtundu I bet atakua na division 2 kali [emoji4]
Pocket money na zile bro Kuna joint nataka nilipie vibomu nya hapa na pale nilikua nazishitukia lakini nampa support ya kibabe [emoji4][emoji4]kumbe dogo atakua alikua anakaza msuli.....
Ntaleta mrejesho hapa....
Nilicho kuja kuamini ukoo wetu haujawai kuwa na watoto vilaza kuanzia wazee wetu mpaka vitukuu vyake kwenye mambo ya masomo KAMA VILE TULICHANJIWA UBONGO WA FISI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mkuu ntakuletea mrejesho 😂😂😂🤣🤣vip iyo Three awe ni yeye.. Unazan iyo 3 atakua nan?
Nafasi za chuo ni nyingi kuliko watahiniwa. Hata kama wangefaulu woteNimeangalia matokeo madogo wamefaulu sana kupita kawaida. Sizani wenye two ya choka mbaya kama watapata vyuo
PCB Binti mwenye 2 ya 12 anaeza omba degree chuo hapo Muhimbili akapata?Nimeangalia matokeo madogo wamefaulu sana kupita kawaida. Sizani wenye two ya choka mbaya kama watapata vyuo
Degree aina ipi Muhimbili? MD hataweza kupata.PCB Binti mwenye 2 ya 12 anaeza omba degree chuo hapo Muhimbili akapata?
Mkuu baba lao ni Ahmes Secondary. Ndiyo ya Kwanza Kitaifa wanafunzi wote 1. One Moja tu ya point 8. Overall GPA ya 1.2891 ndiyo anafuatia Tabora Boys no 2 kwa mbali yaani GPA ya 1.4..., ya Tatu Marian Boys akifuatiwa no 4 Kemebos. Anyway kuna orodha inazunguka mitandaoni shule zote ya kwanza mpaka ya mwisho.Tabora boys[emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2686813
Kwa ufaulu huu sidhaniKapata 2 ya 10 PCB (CDC) je MD atapata?
✊Sizani wenye two ya choka mbaya kama watapata vyuo
✊Huenda Siasa zimetumika
Elimu yetu inachezewa sana na wanasiasa[emoji110]
Inamake sense sana...ule utamaduni wa kijana kapiga div one yako f4 alafu f6 unapiga zero haumake sense hata kidogoBaraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.
Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.
"Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu," amesema.
Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.
Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na asilimia 98.97 hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka 2023.
BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023
Duuh private anapataKapata 2 ya 10 PCB (CDC) je MD atapata?
Mkuu unaamini matokeo haya ni sahihi???? Usifurahie hata kidogo reflect miaka 10 iliyopita na Leo utapata majibu sahihi zaidi!!!Mtoto wa baba angu mkubwa ambae Kwa Sasa ana miaka let say 90's
Mmoja ya watoto wake wa uzeeni NDIO amehitimu mwaka huu form 6
Kwa Sasa dogo yupo JKT nimeangalia shule ya kata mchepuko wa science alikokua akisoma matokeo ni kama ifuatavyo
Division 1@18
Division 2@29
Division 3@1
Hakuna division four Wala zero😊😊
Kwa kua Sina namba yake ya mtiani na alivyo kuaga mtundu mtundu I bet atakua na division 2 kali 😊
Pocket money na zile bro Kuna joint nataka nilipie vibomu nya hapa na pale nilikua nazishitukia lakini nampa support ya kibabe 😊😊kumbe dogo atakua alikua anakaza msuli.....
Ntaleta mrejesho hapa....
Nilicho kuja kuamini ukoo wetu haujawai kuwa na watoto vilaza kuanzia wazee wetu mpaka vitukuu vyake kwenye mambo ya masomo KAMA VILE TULICHANJIWA UBONGO WA FISI🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😊😊😊😊
Degree aina ipi Muhimbili? MD hataweza kupata.