Millifire69
Senior Member
- Jul 8, 2021
- 145
- 149
Ushindani unaanzia hapa
Tabora boys[emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2686813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabora boys[emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2686813
Mkuu niliogopa kumvunja moyo kijana maana nilitaka nimwambia kwa ufaulu ule ni aombe kwenda vyuo vya utabibu yaani Clinical Officers. Ila kwa ufaulu wa kidato cha 6 Science mwajka 2023 hata Div I zitaenda vyuo vya chini tu. Maana mwaka huu nina imani MD Muhimbili PCB watachukua point 3. Point 4 itbidi waweke na kigezo kingine kama A ya BAM ili kupunguza competition kwa kuondoa wale wanaopata BAM C,D,E. japo wanazo point kali. Enzi zetu kupata point 3 si mchezo kabisa, yaani ile Div I ya masomo kama PCB, PCBM, PGM, CBG, haikuwa mchezo kabisa.Usingefikiria md kwanza, ungemwambia hata doctor of dental surgery bado haiwezekani, hata physiotherapy bado haiwekani hata pharmacy...hata medical laboratory muhas ni impossible na div2
Mkuu niliogopa kumvunja moyo kijana maana nilitaka nimwambia kwa ufaulu ule ni aombe kwenda vyuo vya utabibu yaani Clinical Officers. Ila kwa ufaulu wa kidato cha 6 Science mwajka 2023 hata Div I zitaenda vyuo vya chini tu. Maana mwaka huu nina imani MD Muhimbili PCB watachukua point 3. Point 4 itbidi waweke na kigezo kingine kama A ya BAM ili kupunguza competition kwa kuondoa wale wanaopata BAM C,D,E. japo wanazo point kali. Enzi zetu kupata point 3 si mchezo kabisa, yaani ile Div I ya masomo kama PCB, PCBM, PGM, CBG, haikuwa mchezo kabisa.
Kama kipato kinaruhusu aende private, kairuki,imtu, nk atapataMkuu niliogopa kumvunja moyo kijana maana nilitaka nimwambia kwa ufaulu ule ni aombe kwenda vyuo vya utabibu yaani Clinical Officers. Ila kwa ufaulu wa kidato cha 6 Science mwajka 2023 hata Div I zitaenda vyuo vya chini tu. Maana mwaka huu nina imani MD Muhimbili PCB watachukua point 3. Point 4 itbidi waweke na kigezo kingine kama A ya BAM ili kupunguza competition kwa kuondoa wale wanaopata BAM C,D,E. japo wanazo point kali. Enzi zetu kupata point 3 si mchezo kabisa, yaani ile Div I ya masomo kama PCB, PCBM, PGM, CBG, haikuwa mchezo kabisa.