Angalia hii kuhusu biashara ya mkokoteni

Angalia hii kuhusu biashara ya mkokoteni

Kuna watu wakikaa, mawazo yao huwa ni kuingiza milioni 7 kwa kila dakika! Bila kuwaza zinaingia vipi? Great! For doing it your own way

October man
 
Waliondelea walibuni project kama hizo. Anglia tu sehemu nzuri utapeta ila usiwe unaitegemea hiyo biashara uwe na kigezo kingine hapo utaona pesa yake. Well done, keep it up
 
Waliondelea walibuni project kama hizo. Anglia tu sehemu nzuri utapeta ila usiwe unaitegemea hiyo biashara uwe na kigezo kingine hapo utaona pesa yake. Well done, keep it up
Iyo nataka nifanye kama uwekezaji tu kwasababu kwa sasa sina muda wa kufanya kazi kwahivyo dhumuni langu kutafuta mtaji
 
Kama unanawa vileeeee,

Hulipipii parking,
Hufanyi service
Hapo huli,
Huvai,
Hulipi bills,
Hunywi maji,
Hulipi nauli,
Hu......
Hu.....
Hu.....
2019 lazima uwe na milioni zote Faida.

By the way, it's good idea.
 
Kama unanawa vileeeee,

Hulipipii parking,
Hufanyi service
Hapo huli,
Huvai,
Hulipi bills,
Hunywi maji,
Hulipi nauli,
Hu......
Hu.....
Hu.....
2019 lazima uwe na milioni zote Faida.

By the way, it's good idea.
Kwa matumizi uliyopiga alinihusu ata moja kuusu parking ni juu ya aliye na kokoteni na kuusu kutumia pesa focus yangu ni kwamba nisitumie ata shilingi kumi ya faida ni kuweka tu pesa mpaka muda husika, maisha yangu yanajikidhi vizuri tu, ndio maana ni kasema dhumuni kuu ni kutafuta mtaji

Labda swala la maintaince ya kokoteni kidogo ndio zitanihusu na kwa makokoteni ni mara chache sana
 
Kwa matumizi uliyopiga alinihusu ata moja kuusu parking ni juu ya aliye na kokoteni na kuusu kutumia pesa focus yangu ni kwamba nisitumie ata shilingi kumi ya faida ni kuweka tu pesa mpaka muda husika, maisha yangu yanajikidhi vizuri tu, ndio maana ni kasema dhumuni kuu ni kutafuta mtaji

Labda swala la maintaince ya kokoteni kidogo ndio zitanihusu na kwa makokoteni ni mara chache sana
OK, ni wazo zuri mkuu, nilikua najaribu tu ku-challenge.
Au na wewe hujaribiwi![emoji3]
 
Salaam wadau

Katika moja ya idea(project) zangu zilizo kichwani ni biashara ya kukodisha makokoteni, dhumuni kubwa la kutaka kuanzisha hii biashara ni kukuza au kutengeneza mtaji wangu mwenyewe wa kuanzisha biashara zingine kubwa kubwa.
Nilimuuliza mtu mmoja ambaye kazi yake kusukuma mkokoteni akaniambia kuwa pesa ya kumpa mwenye mkokoteni ni makubaliano kwa yeye anampa 1000/= kwa siku, pia aliniaambia kama unaitaji kutengeneza kokoteni jipya pesa yake ni around 100,000/= mpaka 120,000/=

Kwa investigation zangu za haraka nikaona kama ndio hivyo hili faida iweze kupatikana angalau nitaitajika kuanza na makokoteni matatu kwa hesabu zifuatazo

Kokoteni 3 = 300,000/= yakutengenezea

Nikiingiza kwenye biashara

Kila Kokoteni moja =1200/day kukodisha

1200×3 kokoteni= 3600/day

Hivyo 3600/= kwa mwezi ninauwezo wa kuongeza lengine la nne hivyo hivyo la tano mwisho la sita ambapo nina target nikiwa nayo sita ndipo kikomo, nitakuwa naingiza 6000/= per day ambayo kwa mwezi ni 200,000/=

Nikifikia 200,000/= kwa mwezi hapa ndipo nitaanza kuhifadhi pesa zangu mpaka muda husika ambapo kwa mimi ni mwezi wa saba 2019 jumla kwa mahesabu yangu nitakuwa na minimum 2000,000/= si baba

Vipi kuusu hii investigation wakuu unajua nimeeleza katika linear form kuna fall and down na changamoto lakini siwezi kuzipima izo, kwa mwenye ushauri apa aweke

The List
The list katika ID nyingine???
 
Back
Top Bottom