Angalia jela hiyo ughaibuni

Nendeni Austria mkafanye uhalifu mfungwe huko ndio mtajua nini maana ya jela.
 
unaitamaniee
 
Huko netherland jela zilifungwa karibia zote,maana zilikosa wahalifu,wakazikarabati vizuri na kuzitafutia mpangaji,yaani kama jela zako zimejaa unakodisha jela moja huko na kuwaweka wafungwa wako kwa makubaliano, nchi ilisikitika kuwa askari magereza wanaenda kupoteza kazi (siyo vibarua) wengi walitamani magereza zao ziwe active,ila utamfunga nani? Kwa nini?
 
Jengo zuri ila huko ndani unakutana na watu wamepinda na kuna utawala wa muhalifu mwenye nguvu kifedha.
Ukiwa mzembe mzembe unakua mke wa mtu, movie nyingi tunazoangalia zina reflect uhalisia wa jela za huko .
 
Mkinipa uhakika wa kufungwa hapo na-overtake msafara wa rais nauchomekea kwa bodaboda.
 
Kwao jela sio sehemu ya mateso Bali kukubadilisha tabia na mwenendo wako ila huku kwetu jela ni sehemu ya kuadhibiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…