Nendeni Austria mkafanye uhalifu mfungwe huko ndio mtajua nini maana ya jela.Inaitwa Justice Center Leoben, iko Austria ni jengo ambalo lina mahakama pamoja na jela. Aliyeli -design architect anaitwa Josef Hohenssin likakamilika 2005.
Lina uwezo wa kuweka wafungwa 205 na limejaa wafungwa 205 lengo la kujengwa gereza zuri hivyo ni kusimamia Kwa vitendo na kuonyesha kwamba kila binadamu ana Haki Sawa, amezaliwa huru na anapaswa atendewe Kwa heshima.
View attachment 2957511View attachment 2957512

noooooo.......